Inaonekana Katiba iliyopo inaruhusu Upotevu wa AMANI kuletwa na IMANI zetu!
Katiba iweke wazi mambo yahusuyo dini.
Iongee kinaganaga kuwa Serikali haina dini na wala haifuati dini yoyote na hivyo mambo yahusuyo dini kama hayataingizwa katika mufumo wa serikali.
Pia katiba iweke wazi kuwa...
Jamani ndugu hakuna mtu anacho hicho kitabu aki scan ukirushe hapa???
Mmenikumbusha kipindi ndo naanza kujua kusoma nilikisoma hicho kitabu chaMwanamalundi:mtu maarufu katika historia ya Usukumani
Msaada wenu jamani. Kuna dogo anasoma ualimu wa shule ya msingi na ameniuliza hili
"Mtaala tunaona kuwa ni mpango ulioandaliwa kwa ajiri ya kufundishia na
kujifunzia kwa lengo la kuwapatia walengwa maarifa,stadi na mielekeo.
Je mtaala unaandikwa? Baadhi ya wakufunzi wanasema hauandikwi na...
fundisheni software za bure kama R The R Project for Statistical Computing. Hawa ni watanzania mnaowatangazia hii habari ambao mifuko yao ni myeupe! Mnataka hata shilingi waliyonayo ya kusomesha watoto wao au hata wahitaji wanaowazunguka nayo wawapelekee wamarekani kisa eti hiyo SPSS? after...
published by The Journal of Modern African Studies
samahani wadau nimeshindwa kusoma na kuwapa summary ya kilichoandikwa. Ila naamini wapo wadau hii article wangependa kuisoma
Angalia Rais wa Liberia kaja Tz kaongea na wasomi wa chuo.
http://3.bp.blogspot.com/-IgKBVyhtlB0/UAbwJ60B2oI/AAAAAAAABjE/TOh7Uu2yCd8/s1600/IMG_1308.JPG
Rais wetu sikumbuki kama alishawahi kwenda kuongea na wana chuo. Level yake ni wazee wa Dar es Salaam tu! Wamikoani pia hawawezi!!
nawasilisha
Kumbukeni historia - nawashauri msitake kuruhusu Historia hii ya utumwa wa kiaarabu ijirudie.
Kumbukeni pia wale wote mlio na rangi nyeusi mmetokea Tanganyika!!!
Magufuli
- Kuhusu jimbo lake: jimbo lake hata halitetei. Hajasikika akisema chochote kuhusu wananchi wake waliomleta bungeni kuwasemea. Asisingizie mambo ya uwaziri - wananchi wanamdai na hivyo watapima amefanya lipi jimboni mwake kama mbunge waliyemtuma kuwawakilisha.
- kuhusu masilahi ya...
huyo mtoto wa mkulima naye zumbukuku, yeye ni PM anarudi akisema nchi masikini. Mbona anaacha wengine wanaendelea kuwa nayo? au hilo lake pekee ndo litaokoa nchi? Yeye ndiye mtendaji mkuu, kama anaona hilo si a ACT ili hayo madude yanayogharimu nchi yafutike tu! Kiboko yao Magufuli - jamaa wali...
tena hilo Taifa la kesho mpango ni huu
YouTube - ‪hakielimutz's Channel‬‏
watabofya hicho kideo kwenye bulakabodi wakiwa wameinamia vumbi wakiandika kama wanavyoonekana kwenye picha za Babu M. Watoto wanabusu vumbi masaa yote waliyoko darasani -unatarajia nini kuhusu...
yaani huyo sista wangu nimempenda sana. Asante kutuletea hili,maana hata mie nilishaanzisha hili kwa shem wako.
In one car sasa hivi, mambo ya kila mtu na gari wakati wote mwaelekea mjini hakuna. After all ni kwa faida yetu sote na familia nzima.
Ukiondoa wanahabari wakiongozwa na TBC hakuna mwingine anamwita JK Dr.
Wanahabari wetu si unawajua! Na vyuo vyetu siku hizi vimejaa siasa, kila mtu anaangalia tumbo lake tu. Utakuta na huko Rushwa ilitembea ili watoe hiyo Honoraria!
Utawala la Sheria na Haki is the best way to go kwa sababu kama sheria zinafuatwa na haki inatendeka
umoja, mshikamano, uwajibikaji, etc by default vitakuwepo tu.
mimi ninashangaa sana kuona wabunge wa ccm wanaangalia tu na kuwaachia wapinzani peke yake kupigania masuala ya kitaifa na maendeleo ya waTanzania. Inafika mahali ninashindwa kuelewa, hivi hao jamaa wameenda bungeni kulinda maovu au kutetea wananchi? Yaani katika wabunge wa ccm hakuna hata mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.