Haya Mabasi yalikuwa na matatizo mengi, si kwamba yalipigwa marufuku , ila yenyewe yamejiua. Haya mabasi hata kama limebeba abiria watano kwenye mizani linaonyesha kilo zimezidi, hivyo kupelekea matajiri wengi kukwepa kuyanunua. na hata benki hawawezi kukopesha gari ambalo halifanyi biashara kwa...
Watanzania wengi huwa hatuelewi nini maana ya mshahara. Tunadhani mshahara ni wa kula na kutanua. Mshahara inatakiwa pamoja na kula ,pia ituwezeshe kuwekeza katika katika vitega uchumi, na ndivyo wazungu wengi huwa wanafanya. wakipata vijisenti wananunua hisa kwenye makampuni. Sasa kama mtu...
Mimi mwenyewe jana nimeshuhudia kwa macho yangu mama mmoja kagongwa na hayo mabasi. ni kosa la huyu mama kavuka bila kuangalia na kwa vile kulikuwa na foleni kwenye barabara za kawaida huenda huyu dereva wa basi hakumuona. Kwa kweli Elimu ya kutumia hizi barabara inahitajika sana. mtu anaacha...
Mkuu uko sahihi kabisa, kuna baadhi ya sehemu vijijini hawana habari na mabadiliko, redioni huko wanamsikia Magufuli tu.
Kuna mtu niliongea naye nikamwambia huku ni mabadiliko tu, yeye akasema huku sisi ni dole gumba tu. tumejaribu sana kumtafuta Lowassa kwenye redio hatumsikii kabisa. @Ocampo...
Naangalia kwa jicho la tatu, this time sifikirii tena, CCM wana advantage ya kupeleka ujumbe kwa urahisi vijijini kuliko ukawa, kwa kuwaleta watu kwenye mikutano yao. wale walioletwa wanakuwa wajumbe wazuri kule vijijini.
Ila kuna kitu mimi nadhani CCM kinawapa point kutokana na kuwasomba watu kwenye maroli. Hebu fikiria kama wamesomba watu kutoka katika vijiji kumi vinavyozunguka eneo husika na kila kijiji kikatoa watu 50, kwenye roli moja , wale 50 wakirudi kijijini wakasimulia wenzao waliobaki kule kijijini...
Ndiyo tunachokitaka democrasia ionekane, kama nashindwa nashindwa kweli huku nikijiona na ninaridhika. Ni kama vile mpira kiwanjani wote tunashuhudia dk 90 kama goli la mkono tulione live kuliko replay slow motion, ili wasiseme limeeditiwa.
Tatizo watu walishalemazwa na mfumo wa CCM. Wanadhani muhimili wa bunge ni kutetea chama chao. Bunge ni Bunge na Serikali ni serikali, Bunge linatakiwa kuisimamia serikali. Labda kama wakiteuliwa kuwa mawaziri.
Nilikuwa nasubiria kusikia habari hii. Kwa hakika kama atashusha bei itakuwa ni jambo zuri sana. Pia hawa EWURA wasiwekewe asilimia kwenye bei ya mafuta. kwa kuwa wanafaidika kutokana na asilimia, kama bei ya mafuta itakuwa chini ina maana pia pesa yao itakuwa kidogo. hapo mheshimiwa apamulike...
Kumbuka hapa tunapigia kura mambo mawili; 1. kuwaondoa ccm madarakani wametuharibia nchi yetu
2. Kuipigania katiba mpya ambayo inakidhi matarajio yetu, tukichagua ukawa tunahakika na katiba ijayo.
Mambo ya Lowassa sijui magufuli sisi hatuyajui hayo. Kura ukawa full stop.
Kuna watu wengine walikuwa wambeya akiona tu demu kapewa barua anaenda kusemea kwa mwalimu, mwalimu anamkagua demu mpaka anatoa ile barua, sikilizia kichapo. Shule nzima inaitwa mnachapwa hadharani afu mkitoka hapo aibu yake mpaka wiki ndo mtu unasahau!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.