Ndege hai aina ya Kipanga "Peregrine Falcon" anasifika kwa kasi yake, hufika zaidi ya kilomita 320 kwa saa (200mph) wakati wa kupiga mbizi angani (Aerodynamic Dive).
Kinadharia kwa kasi hii, hewa inatosha kupasua mapafu yake lakini ndege huyu huweza kufunga au kufungua kinundu kwenye pua yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.