Jamani mwenzenu nina meno kama sita hivi yametoboka na tayari nishang'oa manne kwa sababu tofauti tofauti.Mawili yalikuwa yameota vibaya na mawili yalikuwa yametoboka haswaa hata kuziba hayafai. So naombeni msaada wa dentist mzuri wa kuyakarabati na si kung'oa maana nitakuwa kibogoyo.
Nahitaji msaada wa Act, amendment, au Case law ambayo inatoa qualifications za Daktari ambaye anaruhusiwa kujaza pf3 and/or postmoterm. Maana huku nilipo Clinical officers wengi ndiyo wanaojaza pf3 na kisheria hawaruhusiwi. Kwa sasa Daktari mwenye Cheo kuanzia AMO na kuendelea ndiyo wanaruhusiwa...
ninavyosikia Daktari mwenye cheo kuanzia cha AMO, MD nakuendelea ndo wanaoruhusiwa kufanya postmoterm. sasa ningependa kujua ni sheria ipi au kanuni zipi zina wapa power ya kufanya postmoterm. Ningependa kujua Sheria au kanuni haswa, kwasababu hapa nilipo nafanya reserch. So majibu yenu...
kuna sheria inaitwa Inquest Act ambayo inasema Medical Practitioner atafanya "postmoterm". Now the question is who is medical practitioner. according to Medical Practitioners And Dentist Act R.E 2002, Medical practioner in summary ni mtu anaye practice medicine or surgery. In practice, baada ya...
Habari wanajamii forum, naomba msaada wa kujua ni wapi naweza kununua vyakula vya kinigeria. Nina rafiki yangu nilisoma nae huko nchi za watu,amekuja kikazi TZ sasa angependa kujua kwa Dar hivyo vyakula vinauzwa wapi ili awe anajipikia mwenyewe. Ninaomba msaada kama kuna watu wanajua vinapouzwa.
Mimi ni mwajiriwa wa College flani hapa mjini Dar es salaam. Nimeajiriwa mwezi wa tisa mwaka jana kama mwalimu wa Diploma na Certificate. Mkataba wangu ni wa mwaka mmoja na niko kwenye probation ya mwaka mmoja. Hapa nilipo nimelipwa mshara nusu wa mwezi wa kumi na moja, mwezi wa kumi na mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.