polisi umebaini kua chanzo cha ujumbe huo mfupi haikua kampuni ya simu husika kwa vile Central no. iliyo tumika kutuma ujumbe huo mfupi wa maneno ni 44780200332
sasa ni kampuni na sio Magesa MULONGO??
HATUDANGANYIKI.
Kama kutakuwa na Redio za Vyama, Redio za Dini, redio za watu binafsi Redio za Jamii, Redio za Serikali Redio za Kimataifa basi kuna siku hata Makabila yatasajili Redio zao.
Mapenzi ni tofauti na tamaa za mwili, Acha kuangalia mapenzi kwa mambo yanayoonekana kwa macho. Mapenzi hayalinganishwi na kitu au pesa. Mpe mpenzi wako anachotaka. Anakupenda nawewe mpende mpendane.
Idhaa ya kiswahili ya RFI KIswahili inatarajia kuadhimisha mwaka mmpja tokea kuanzishwa kwake , ikiwa imekita mizizi yake jijini Dar es salaam Nchini Tanzania mnamo 5July.
Ili kusikiliza matangazo
Tembelea karibu | RFI
Sir_Kimanyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.