Search results

  1. molwe

    Nahitaji kuku chotara

    Habari za Leo?! Nahitaji kuku chotara wenye umri kuanzia miezi miwili kwa mkoa wa Morogoro au Dodoma.
  2. molwe

    Namtafuta mtu alieko Dodoma

    Habari za Leo!! Kuna ndugu humu aliwahi kuandika kuwa yupo Dodona na anaweza kusaidia kupeleka barua kwenye Wizara mbalimbali. Nimejaribu kuutafuta ule Uzi wake siuoni na sikumbuki vizuri kichwa cha habari. Kama anasoma Uzi huu naomba mawasiliano yake. Shukurani.
  3. molwe

    NATAFUTA SOKO LA UKWAJU

    Habari wana jukwaa, ndugu zangu nipo Morogoro nina ukwaju mwingi, kama kuna mtu anajua soko lilipo au aniunganishe na masoko. Natanguliza shukrani zangu[emoji120][emoji120][emoji120] Namba zangu za simu-0627912202
  4. molwe

    Natafuta master cylinder ya brake ya Honda CR V

    Habari za leo wanajamvi. Naomba msaada kwa wanaofahamu muuza vifaa vya HONDA kwa hapa Dar aniunganishe. Natanguliza shukurani.
  5. molwe

    Gari yangu aina ya Wish taa ya oil inawaka moja kwa moja

    Habari za leo wadau! Naomba msaada , gari yangu aina ya Wish taa ya oil inawaka moja kwa moja. Imeshabadilishwa vitu vingi hadi fundi kanyoosha mikono. Naomba wajuzi mnisaidie ifanyiwe nini tena?
  6. molwe

    Wakulima Dakawa-Morogoro wanasumbuliwa na wafugaji, nani wa kuwasaidiaa?

    Habari za leo wanajamvi!! Wakulima wa mpunga dakawa-Morogoro, Wana kilio!! Wafugaji wanaingiza mifugo mashambani kwa jeuri, wakulima hawana cha kufanya!! Ukikamata ng'ombe upeleke polisi, mwenyewe hatokei wanasubiri giza wanawaswaga na kuondoka nao. Kuna kipindi kwa ustaarabu kabisaa walikaa...
  7. molwe

    Habari njema kwa wakulima wa mahindi!!!

    Habari waungwana. Kilimo cha mahindi kwa takribani miaka 3 sasa hapa nchini kwetu kimevamiwa na viwavi wanaoshambulia shina na kuathiri mavuno kabisaa. Hali hii imesababisha matumizi ya madawa makali na gharama kuubwa sana kwa wakulima. Lipo suluhisho la kustawisha mahindi bila kutumia kemikali...
  8. molwe

    Bajaji Morogoro zitafutiwe utaratibu wa kuegeshwa

    Habari za leo wanajukwaa!! Nimepita maeneo ya Morogoro stendi ya haisi mjini, kwa kweli Kuna changamoto kuubwa!! Bajaji na pikipiki zimeziba kabisaa barabara iendayo kwa mkuu wa Mkoa!! Wanapaki katikati ya barabara na wajeuri!! Naomba kwa heshima kabisaa mamlaka husika ishughulikie hili!! Pale...
  9. molwe

    Msaada: Natafuta makaratasi ya rangi ya kaki ya kutengeneza mifuko na vifungashio

    Habari zenu!! Nahitaji msaada kama kichwa Cha mada kinavyojieleza!! Nataka kutengeneza vifungashio Kama njia ya ujasiriamali. Naomba anaefahamu sehemu ninayoweza kupata anisaidie!! Natanguliza shukrani¡
  10. molwe

    Msaada kwa aliyewahi kutumia mbolea ya DI nyekundu au ya kijani!!

    Wandugu naomba mnisaidie kutoa ushuhuda hapa kwa aliewahi kutumia hizo mbolea hapo juu. Mimi nimetumia kwenye mahindi ni wiki ya 3 sasa sioni mabadiliko ninachokiona ni mahindi yanazidi kuwa njaanooo¡!
  11. molwe

    Nitapata wapi sheer butter

    Kwa anaefahamu mtu anaeuza hayo mafuta hapo juu naomba anisaidie mawasiliano nae, huku mkoani hakuna kabisaa!!
  12. molwe

    Msaada jinsi ya kupika biriani!

    Wapendwa naomba msaada wa mahitaji na jinsi ya kupika biriani!!_ Natanguliza shukurani.
  13. molwe

    DAWA YA KISUKARI: HINGO MWANO!!

    Kwa yeyote mwenye tatizo la kisukari au kumjua mtu mwenye kisukari awasaliane na namba hii 0716439433 . Imemsaidia saana ndugu yangu alikuwa akatwe mguu lakini amepona kabisaa!! KIZURI KULA NA WENZIOO!!
  14. molwe

    Shida ya kupenda usipopendwa!

    Mama mkwe kamfukuza mka mwana nyumbani, mume kaungana na mama yake! Jamani kuna sababu ya mke kung'ang'ania ndoa hiyo??
  15. molwe

    Msaada tafadhali kuhusu sheria za barabarani

    Habari za jioni wanajukwaa! Nahitaji kujuzwa kuhusu sheria hii: Abiria anaekaa kiti cha nyuma baada ya siti za mbele ni lazima afunge mkanda?? Maana nimekutana na utata leo jioni, kuna trafiki alinisimamisha abiria wangu wa nyuma hakuwa amefunga mkanda, kwa jazba kachukua leseni na kadi kapeleka...
  16. molwe

    Msaada:Ushauri unahitajika

    Ndugu wanajamvi naomba msaada wa ushauri jinsi ya kumshauri shemeji yangu mke wa rafiki yangu! Nina rafiki yangu wa siku nyingi nahisi anakaribia miaka hamsini sasa (50), ana mke mzuri sana anaejiheshimu na muwajibikaji. Ila huyu rafiki yangu ana matatizo jamani sio mwaminifu kabisa hata kidogo...
Back
Top Bottom