Ukitaka kuleta monopoly kwenye ulimwengu wa biashara nyakati hizi usiweke tamaa mbele, watu wana taarifa nyingi kuhusu bidhaa wanazohitaji hususani suala la bei. Tazama huyo rafiki yako anakuzidi wapi kisha rekebisha. Wateja wa sikuhizi hatubembelezi muuzaji ilimradi tukijua bidhaa fulani duka...
Makonda amerudia aliyowahi kuyasema Ndugu pole pole, hii bado ni awamu ya tano, ni wahuni wachache tu ndio wanajifanya hawatambui hilo na kuiita awamu ya sita.
Huyo Ndio Chuma JPM, Chawa wana weweseka hawajui wamsifie au wamponde, kote kote ana watwanga konzi za utosi. Ndio mara ya kwanza kushuhudia binadamu aliyefariki akichanganya walio hai miaka mitatu mfululizo. Hakuna wa kumjibia kila baya asemwalo lakini cha ajabu watu wana jijibu wenyewe...
Kwenye issue kama hizi huwezi sikia feminist kama kina jokate na carol ndosi wakipaza sauti, ila angekuwa ni mwanamke sasa binie kidoti tayari angekua ameshafika na v8 lake kwenda kupiga piga picha na mtuhumiwa. Ukizaliwa mwanaume PAMBANA hakuna wa kukuonea huruma
Tafuta kazi ya kufanya mkuu na kuwa busy na majukumu ya msingi, mimi pia ni mdau ila kuna mipaka na ratiba. Njia niliyotumia kupunguza kununua ni:
Kuepuka kwenda viwanja vya mbali na nyumbani, mara nyingi siku hizi kama nisipopiga bia nyumbani basi option ya karibu niliyonayo ni kijiweni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.