Nyerere: Kama vile nakufananisha?
Mandela: Hata mimi naona sio sura ngeni?
Nyerere: We ndie Mandela eee?!
Mandela: Ndiyo mimi haswa miaka 14 ni mingi.
Nyerere: Sana!!.
Mandela: Sasa nitakaa wapi mbona hakueleweki huku?
Nyerere: We ngoja utapaelewa tu.
Nyerere: Eeh!! vipi huko Tanzania...
Hii ndio Bongo
Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya. MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi....kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic . BINTI: Mi naitaka hii MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe...
Pindi mwanamke anapokunywa sumu kuhusu mapenzi alaf akaandika ujumbe wenye jina la MTU flani hivi hyo MTU alieandkwa jina anahusika vipi ??? Na hukumu yake huwa Ni VP ???
Hamad alialikwa harusini, Usafiri wake ni Baiskeli. Wakati anaikagua akakuta ina pancha, akamwambia mkewe atangulie kwa miguu yeye azibe pancha, mke akiwa njiani akaingia kichakani kukojoa, kumbe nyuma ya kichaka kuna jamaa naye anakojoa, wakati Hamad anafika Eneo lile akamwona mke wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.