Search results

  1. Rutashubanyuma

    Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

    On this thread, I shall be sharing my personal views on a number of issues that includes politics, religion, sports, language skills, motivational words among others. My aim is to avoid multiplicities of threads and responding to criticism that threads must attempt to interrogate the main...
  2. Rutashubanyuma

    Kuboresha mafao ya viongozi wa kitaifa kwa sheria za kawaida ni ukiukwaji wa katiba ya nchi hii

    Kuna sheria iko jikoni yenye kulenga kuboresha mafao ya viongozi wa kitaifa na kuhakikisha wenza wa viongozi hao kulipwa 25% kama mafao ya kustaafu. Pia familia zao kuvuna 60% ya mshahara mara baada ya viongozi wa kitaifa kufariki dunia. La ajabu, huu muswada pamoja na kuchochewa na mapendekezo...
  3. Rutashubanyuma

    Hatuwezi kwenda Uchaguzi wa 2024 na 2025 bila marekebisho ya Sheria za Uchaguzi

    HATUWEZI KWENDA UCHAGUZI WA 2024 NA 2025 BILA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI Watawala wamekuja na mbinu ya medani wengi hawaijui katiba iliyopo, vyama vya siasa siyo wamiliki wa Katiba na ubora wa katiba siyo lazima haki ikatendeka. Hivi ni visingizio vya kukwepa kurekebisha mfumo wa...
  4. Rutashubanyuma

    Mlio karibu na Tundu Lissu mumkanye aache mara moja kuropoka ropoka!

    Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material. Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo. Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai...
  5. Rutashubanyuma

    The CIA is already plotting the assassination of Zelensky but will blame Putin!

    We would like you to be the first to know what the CIA is planning to do. Ukraine has been comprehensively defeated in Ukraine, but its corrupt ridden regime under the Ukrainian oligarch wants to prolong the war indefinitely in order to continue amassing billions of dollars. The problem with...
  6. Rutashubanyuma

    Askofu Profesa Victor Chisanga kaambiwa na Mwenyezi Mungu asitii mamlaka kwenye swala na bandari bali ampinge Rais

    https://youtu.be/CsfIiDj5LQY Askofu profesa Victor Chisanga kwenye mahojiano yake na Jambo TV kadai ana maelekezo ya Mwenyezi Mungu lazima apinge mamlaka kwenye uwekezaji wa bandari na asipofanya hivyo atakwenda motoni.
  7. Rutashubanyuma

    Hawa DP WORLD siyo wawekezaji bali ni mchwa

    SERIKALI IJIANDAE KUWATETEA DP WORLD KWA SABABU AJIRA NA MAPATO YA BANDARI YATAKASHUKA MNO! Hawa DP WORLD siyo wawekezaji bali ni mchwa. Tuna mapigo matatu yanahusiana na huu uwekezaji wa kifisadi yanakuja bila kuchelea. Pigo la kwanza mapato yatashuka kinyume na matarajio yao. Mapato ya...
  8. Rutashubanyuma

    CCM kujivua gamba kwa kulivunja baraza la mawaziri!

    Sisiemu kujivua gamba kwa kulivunja baraza la mawaziri! Inapokuja swala la kuendelea kubaki madarakani sisiemu huwa haina cha msalia mtume na huchukua hatua stahiki kwa kuwamwaga makada wake walioshindwa kusoma alama za wakati. Ni dhahiri sera ya ubinafsishaji wa taasisi za umma siyo chagua...
  9. Rutashubanyuma

    Maandamano siyo uhaini bali ni ututusa!

    Sijui kwanini sisiemu wanaikana sera yao penzi ya ubinafsishaji na hata kudiriki kujigamba kwenye mikutano yao bandari haziuzwi wala hazibinafsishwi wakati wamebinafsisha. Kama wapinzani wameshindwa kitu kidogo kama kulinda kura wataweza kuongoza maandamano na kuwang'oa watawala? Ukweli ni...
  10. Rutashubanyuma

    Tetesi: Ubinafsishaji wa NDC na NAFCO uko jikoni kisa ni ardhi yao

    Wakati wowote kuanzia sasa tutarajie ardhi iliyoko mikononi mwa NDC na NAFCO kukabidhiwa wageni kwa visingizio mashirika tajwa yanatutia hasara. Serikali itayafuta mashirika tajwa na kuwauzia waarabu wa Dubai ardhi ya taasisi tajwa kwa bure hata sumni hawatatoa. Kinachopiganiwa hapo ni...
  11. Rutashubanyuma

    Uamuzi wa Mahakama kuhusu DP World umethibitisha mahakama zetu haziko huru

    Ukiona mahakama inatumia katiba ya Falme za Kiarabu kuhalalisha Dubai ni nchi inayostahili kunufaika na sheria za mikataba ya kimataifa badala ya kujikita kwenye Lome & Geneva Conventions ujue hatuna mahakama. Uhalali wa Dubai na DP WORLD kuingia mikataba ya kimataifa inabidi utokane na Geneva...
  12. Rutashubanyuma

    Kukamatwa silaha za Emirati Uganda kwaashiria nini Uwekezaji wa DP World nchini?

    Tarehe 02nd June 2023, maofisa wa uhamiaji wa Uganda walikamata silaha za Falme za Kiarabu (UAE) zikipelekwa Sudani kupitia Chad kulingana na makala ya WSJ (Wall Street Journal) ya leo tarehe 10th August 2023. Maafisa walionasa hizo silaha hizo walipowajuza mabosi zao hatua zipi wachukue...
  13. Rutashubanyuma

    Mbona mkataba wa DP World unashahibiana na mikataba ya Ufaransa na Makoloni yake?

    Nimeshtushwa baada ya kupitia mikataba 14 ya ufaransa na makoloni yake nikakuta kuna baadhi ya maeneo yanarandana na huu mkataba wa DP World. Mfano tu huwezi kufanya uwekezaji wowote bila ya ridhaa yao. DP WORLD na ufaransa wanaonekana malengo yao yanafanana. Lengo lao ni dhahiri wanataka...
  14. Rutashubanyuma

    Tulia Ackson mbona kapaniki hivyo, kulikoni?

    Hotuba ya msomi nguli wa sheria imetuacha na maswali mengi hasa mbona anaelekea ana khofu ya kushindwa uchaguzi wa ubunge 2025? Katika hotuba yake ya leo tumejifunza mambo mengi yakiwemo ufahamu wake wa sheria unatuacha hoi bin taabani. Kwanza kapendekeza wawekezaji watafutwe na kuongezwa...
  15. Rutashubanyuma

    TUNDU LISSU mwanaharakati mzuri lakini siyo presidential material.

    Baada ya kumtafakari sana Mheshimiwa Tundu Lissu imebidi nikiri kutoka sakafu ya moyo wangu huyu atatusaidia sana kwenye kuainisha matatizo yaliko lakini hana majibu yake na haya ni mapungufu makubwa ambayo hatuwezi kuyafumbia macho. Moja, alijivunia umaarufu kwa kukosoa serikali zote mbili za...
  16. Rutashubanyuma

    Tatizo la ajira kwa vijana ndilo litakalowatoa CCM madarakani

    Wapinzani wasichojua sisiemu hawatabanduka madarakani kwa njia za kidemokrasia bali kwa vurugu za panya roads. Neema ya kuwang'oa sisiemu haiko kwenye masanduku ya kura bali siku ambayo panya roads watakapoamua kufanya kweli na hiyo siku haiko mbali. Wapinzani wanalia na katiba mpya ambayo...
  17. Rutashubanyuma

    Kutokuiba kura na kutegemea vyombo vya usalama badala ya wananchi kuipa Serikali mamlaka ya kutawala ni njia bora ya kuzuia machafuko

    Katika ukurasa wake wa Twitter Ibrahim Babangida kaweka wazi hadharani sifa za serikali ya kiraia kupinduliwa. Moja, uwepo ushahidi wa kutosha palikuwepo na matukio ya wizi wa kura. Pili, serikali iliyoingia madarakani haina uhalali utokanao na uchaguzi,. Tatu, wananchi wana malalamiko ambayo...
  18. Rutashubanyuma

    Nyufa ndani ya CHADEMA zimezibwa kwa muda na sakata la Bandari lakini kufumuka upya kabla ya uchaguzi

    Yapo makundi mawili ndani ya Chadema kundi moja laongozwa na Tundu Lissu na la pili liko chini ya Aikael Mbowe. Ugomvi wa haya makundi mawili ni nani awe mpeperusha bendera ya Urais ujao yaani 2025. Kundi la Tundu Lissu linaamini mgombea wao ndiye mwenye mvuto na wanaamini alishinda uchaguzi...
  19. Rutashubanyuma

    Asilimia 90 ya Wabunge CCM kupoteza Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

    Pamoja na Wabunge wa CCM kuuza bandari zetu zote bwerere na kutukejeli sisi ni vilaza tunaohitaji darasa kutoka kwao huku wakijipandishia mishahara na posho kimya kimya wakati ya wengine hawawajali masilahi yao lakini wana hali mbaya ya kisiasa majimboni kwao. Wengi wao wanadiriki kusema...
  20. Rutashubanyuma

    Tundu Lissu hajui alipata kura ngapi uchaguzi uliopita hii sasa ni AIBU!

    Mgombea Urais alikiri hajui alipata kura ngapi uchaguzi uliopita kwa utetezi ya kuwa hata Tume ya uchaguzi haijabamdika matokeo ya kila jimbo kwenye tovuti yao kama sheria za uchaguzi zinavyosema. Tunasema hii inashangaza tukizingatia baada ya uchaguzi alikuwa mstari wa mbele kutuhimiza...
Back
Top Bottom