Sisi tunaiga kila kitu bila kujali madhara yake,
Sijui ni ushamba wa magari au nini?
Naonaga vijana wanatoa hadi usukani ulikuja na gari (wenye Airbags) wanaweka kiusukani cha chuma ambacho hakima Airbag.
Madhara ni makubwa sana
Dr Toyota yuko poa sana,
Aliniwekea tinted mpaka Leo iko vizuri[emoji817],
Mafundi wengi wa mtaani ni wezi,
Akitaka kukuwekea tinted anakuwekea jioni au usiku.
Labda wachakachue Japan,
Ila hapa bongo unamkamata vizuri tu,
Nikipata namba ya Chasisi ya gari mfumo wa Inspection wa IAA nitaona Km ilizoingia nazo bongo,
Nikifanya adjustment na matumizi yake nitajua TU
Zile siyo ofisi zao rasimi?
Ni Agent wao
Na ukiagizia pale Bei inakuwa juu kidogo tofauti na ukinegotiate mwenyewe Japan.
Huwa ukiagizia pale bei inakuwa juu
But unapata kuponi kama ya 200,000 kwa ajili ya service kwenye garage moja ya kijapani pale KAMATA.
So ni bora unegotiate online mwenyewe...
Usiwe na shaka wako
Vizuri,
Mwanzoni mwa mwaka huu niliagiza VW CROSS POLO
Ila tu changamoto yao ni kuwa Wanachelewa sana kusafirisha ,
Gari linaweza chukua hata miezi 2 na zaidi,
Mimi lilichukua miezi miwili na nusu kufika DSM.
Ila wako vizuri sana,
Price ziko safi compared na mitandao mingine.
Sure,
Ni bora uagize Japan gari lenye Km 300,000 kuliko kununua gari lenye Km 60,000 bongo.
Madalali wengi wananunua hizo zenye km nyingi kisha wanapunguza.
Kuna gari mpaka zina Km Milioni 7 na point,
BF Hawako serious, kuna kitu nadhani hakiko sawa.
Ingia kwenye website sort by Milleage high to low
Angalia maajabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Mjerumani adanganye Umma kuhusu Speed ?
Unadhani wanaonunua haya magari ni Wajinga kama sisi?
Kama hujui hii gari
Ingia Youtube utapata Maarifa ya Kutosha.
Mkuu,
Ingia Playstore download application ya GEPG kila kitu kipo hapo ni kuingiza namba ya gari tu.
Parking zote za TARURA na idara zote za serikali zipo hapo.
Nakushauri weka rims za size 16 nadhani ndiyo maximum size kwa Premio or Allion.
Mimi mwenyewe nilikutana na same scenario
Niliagiza Allion ilikuwa na size 14 nikaweka Spacer baadae nikaja kuweka rims 16 na tyre 165/55 ikapanda juuu,
Sikwami popote.
Kwenye mlango nadhani wameandika maximum...
Mkuu, Pitia vizuri
Exercise duty to Age ni limit ya 7years TU
Hakuna cha miaka 12 wala 10.
Pia Exercise duty to age ni fedha ndogo sana haina effect kubwa kwenye ushuru.
Mfano: Angalia hapa gari ya mwaka 2015 ina Execise duty to Age wakati toka 2015 mpaka leo ni takribani miaka saba (7).
So TRA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.