nimekubali admission....mtoto ni aliezaliwa hatuwezi kutegemea ujauzito utuletee mtoto....Haiwezekani eti kufanya mabadiliko ili kuona vyama vya upinzani vinafanya nini,kuongoza nchi sio jambo la kitoto jamani,tutalia tukifanya makosa kwa kipiondi hiki,VOTE 4 JK...
no ONE lyk JK guys hawa wengine wana uchu na ruzuku tu hakuna chochote,kwanini mfunge macho kuangalia aliyoyafanya jamani??tuwe wakweli huyu mropokaji Slaa hana mpya...
ACCORDING TO MY KNOWLEDGE,JAKAYA IS A PRESIDENT COMPARED TO SLAA AND LIPUMBA...ts a joke to compare the man (JK) with this guys,he has talented to be a leader,Slaa is disqualified with many reasons,he is not patient and daily he is arguing with media that is nonsense,let them talk about you and...
Nashukuru ndugu yangu lakini mie naona JK badi anastahili hiyo nafasi ya Urais,Lipumba sawa ni msomi mzuri lakin katika usomi wake huo umekua hauna manufaa kwa Taifa letu,niulize kwa nini??Alishawahi kuwa mshauri wa Mstaafu Rais alhaji Ali Hassan Mwinyi lakin alishindwa kulipelekea Taifa hili...
Hapa bwana hakuna mwenyewe kila mmoja yupo huru kutoadukuduku , mwazo, hisia, openly bila kujali au kuogopa chochote, nilichogundua ni kweli kuna mtambo na huo mtambo inawezekana baadhi ya members wa JF wapo utamkaripiaje mtu kutoa mawazo yake?? kwanini muumie ? basi ni kweli huo mtambo upo na...
Dr Slaa hukuisikia sauti ya Mungu bali ilikuwa sauti ya shetani , maana Mungu huwatuma watu katika mambo mema sio uasi, wewe ni muasi kama Lusifer alivyasi Ikulu ya MUNGU,NAKUSHAURI PATANA kwanza na Mungu wako baadaye uje kwenye siasa tena uanze na Udiwani katika Jimbo analogombea Rose Kamili...
Huo ni uzushi mtupu ,umbea na dalili za wazi za wapinzani kuishiwa hoja kikwete anapeta na akubalika na anachanja mbuga bila wasiwasi, tazama kule Mkoa wa Njombe Kata ya Lupembe amevunja rekodi baada ya Baba wa Taifa na kurejesha matumaini kwa wananjombe. Jee unajua maana ya neno Kikwete katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.