Umekosa uhalali. Kama watu wanakupigia simu muonane unawazungusha then we ni tapeli na hauheshimu muda wao. .kwa maana hiyo unatapeli muda wao. Njaa zako hazipaswi kusababisha inconvenience kwa wengine
next question itakuwa ni hatua gani ntachukua kwa scenario hizi zifuatazo:
1.ikiwa eneo lina madini na linamilikiwa na mtu au kikundi-kwa maana ya lina allocation na wizara na
2. ikiwa eneo lina madini na halina mmiliki lakini linatambuliwa na wizara na
3. ikiwa eneo lina madini na...
bab-D kuna mtu aliniambia pia nisikurupuke kununua sababu wakti mwingine unakuta hilo eneo liko alocated kwa mtu na idara ya madini na mwenye shamba hajui hivo anakuuzia...mwisho wa siku huwezi kufanya kitu...kwa hiyo nimemuuliza gwamahala swali i hope atatusaidia sisi wachanga tunaojifunza hii...
asante sana mkuu kwa jibu lako zuri sana. nakubaliana na wewe kuwa uangalifu ni muhimu sana. swali langu ni je. hizo gps ni hizi hizi za maofisa ardhi wale wa kuangalia mipaka ya viwanja au zipo gps special kwa madini?...halafu je katika nchi hii hakuna maeneo yenye madini ambayo inawezekana...
asante bro.si ninahitaji pia na mtaalam wa madini? kuna mtu aliniambia kuwa baada ya kujihakikishia kuna madini nitahitaji kujua kama eneo hilo halikuwahi kugawiwa kwa mtu kutoka idara ya madini...je utaratibu ukoje?
msaada wenu nataka kununua ardhi yaani shamba eneo flan ambalo nimeambiwa ni mwambao wa madini...swali langu je nawezaje kujua kabla sijapanunua na utaratibu ukoje? asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.