Hii stori ya Rostam ni sehemu kiduchu sana katika kuhusu yeye! Please tell us pia ugomvi wake na Mzee Sitta ni nini? I think it is more than the Richmond saga! I also agree that every media in Tanzania serves the interests of the owner for about 70%. Nani anabisha? New Habari au TSN ni about...
Tunaomuunga mkono Dk. Slaa tutapiga kura? Mashabiki wengi wa Chadema waliopo mijini na miongoni mwa wasomi hawakujiandikisha kupiga kura na hivyo hawatapiga kura! That is very bad. TUMESHAMUANGUSHA! TUJIANDAE TU KUKUBALI MATOKEO!
Hakuna mtandao wa staili ile ya 2005 tena. Ule ulikuwa ni mkakati wa Lowassa! Ila kwa media bado unaendelea kwa staili ile ile wakiwemo akina Muhingo Rweyemamu na "sauti ya Ahmed Kipozi" (kwa vipindi maalum vtya CCM katika TV). Halafu ule mtandao ulimsumbua sana JK baada ya kuingia katika jumba...
Kumbukeni JK aliwahi kusema u-Rais wake hauna ubia na mtu yeyote! Labda alikuwa ana maana hiyo. Kwamba ni ubia wa kifamilia na maswahiba wachache! Jamani kinachonitisha sio hiyo staili ya kampeni, ila AHADI LUKUKI ANAZOTOA. Eti katika muda wa miaka mitano tu atajenga reli kutoka Dar hadi...
Binafsi naona zile sifa alizotoa Mwl. J. K. Nyerere pale Kilimanjaro Hotel (sasa Hotel Kempenski) na katika sherehe za Mei Mosi kule kwenye Uwanja wa Sokoine Mjini Mbeya zinatosha. Yaani kuna mambo ya msingi ambayo huyo Rais lazima akubali kutekeleza, awe MJAMAA au BEPARI. Mengine yapo katika...
Mkumbwa Ally hataondoka Daily News. Ila atapewa ile post yake ya kimangimeza ya Deputy Managing Editor ambayo amekuwa akisifika kumchunguza au kumfitini anayekuwa juu yake (ME - Managing Editor) kama alivyomfanyizia Isaac Mruma! Huu ndio ukweli! Alichokifanya Mkumbwa kina baraka zote za jumba...
Naamini wanasheria wa Chadema, Wakili Mabere Nyaucho Marando na Wakili Tundu Antipas Lissu, wameshaliandikia "demand letter" (barua ya nia ya kushtaki) hilo DAILY NEWS kwa kashfa hiyo nzito inayowagusa watanzania wengi wenye upeo wa kutosha wa elimu ya uchaguzi ambao hawadanganyiki!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.