You guys better quit whining when Dr Slaa is on the receiving end of dirty politics which you guys have pioneered from the get go of these campaigns. Youve also veered from selling your policies, to resorting into mud slinging, innuendo filled kind of politics its really sad. You guys are a...
Watu wengine wanaota sana kuhusu nchi yetu hii kuendeshwa na mtu kama Dr. Slaa, hizo ndoto zenu za Alinacha zitazimwa tarehe 31 Oktoba, 2010. Ushindi wa CCM utakuwa wa kishindo kuliko vile mnavyo tarajia, pole sana Mungu ibariki Tanzania, na ibariki Afrika. Kidumu Chama Cha...
Mambo ya kichochezi siyo mazuri hata kidogo, sisi waAfrica tunalilia watu wenye sera endelevu na siyo vitisho kwamba tukishindwa tutapigana yaani kanakwamba watu wanajisikia kwamba amani ni boring. Kuhusu Chadema kushinda ni ndoto za alinacha kwasababu waTanzania siyo wajinga kumpa nchi mtu...
Inanisikitisha kuona kwamba watu kazi yao kupiga madongo kwa kuonyesha work in progress, bila kuchangia solution ya matatizo. Kuelezea mapungufu ni rahisi lakini kutafuta ufumbuzi wa matatizo ndio kazi na hapo bado usimamizi wake.:sleepy:
Sadaka na zaka zote anazopata anapeleka Chadema...kwa hivyo hii ni kutimiza ahadi yake ya kwamba watamjua yeye ni nani baada ya kupigwa mkwara na Ngeleja kuhusu nguzo za Tanesco... Nadhani alisahau ile ya kaisari mpe kaisari :lol:
Watu wengine wamepungukiwa akili.
Mtu mzima anafananisha Chama imara kama CCM na vyama ambavyo havina misingi yoyote ndani ya Tanzania. Mtu utamjua tabia yake pale anapopata madaraka au pesa ambapo anakuwa hana shida.
Chadema, TLP, CUF na vinginevyo havija wahi kushika dola hata maramoja...
You are innocent until proven guilty inthe court of law and not the other way round, whereby you are guilty until proven innocent. Think about it........:sleepy:
Ethiopia wamefulia kuliko Bongo, we nenda Addis, Kampala, Bujumbura, Kigali hivyo vimiji vyote viko kama vile uko mkoa yaani kumechoka siyomchezo. Barabara zao zimejaa mashimo, traffic lights kwao ni dili yani wapowapo, huwezi ukafananisha na bongo hata kidogo. :eyeroll2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.