Kwanini unahisi anatufaa?? Maana mie sijasikia sera yoyote zaidi ya kulalamika kuonewa na kumkosoa tu Magufuli.. Sasa je yeye atafanya nini na ikiwa hata ilani tu hatuioni??
Akue kwanza ataelewa maisha ya ndoa ni nini? Walau akae kwenye ndoa miaka 6 na kuendelea atakuwa kapata picha kwanini huwa vile!! Nadhani jibu lako limekuwa kubwa sana kwake! Hawezi kukuelewa kwasasa
Hazipo kwa sasa ila walianzisha rout ya Mbeya~Arusha nako naona wameacha, Bus ziliandikwa Grecious kama sijakosea ila boss alikuwa ndugu na yule wa Grazia ya zamani!.. Yule boss wa Grazia aliwahi kuchonga body refu pale buguruni likawa na choo ndani! Aliiteka sana Njombe kipindi kile
Boss aliamua kuzipaki zilikuwa na shida kwenye sensa za body kuna muda ilikuwa inajiinua sana ukitaka kuishusha inashuka moja kwa moja hadi chini! Wakashauri ziwekewe mzani ya kawaida akagoma kuwa itakuwa haina tofauti na mabasi ya kichina. Ile ilikuwa na uwezo unailaza upande uutakao, na hata...
Kuna bus ngapi za Scandinavia ambazo hadi leo zipo na zilishakuwepo tangu 2007? Abood za tangu 2008 zipo tena zinapiga rout ndefu.. Iliyokuwa Lupelo zipo na NBS bado zinafanya kazi.. Wewe nitajie mchina moja tu ya 2010 au 2012 iliyo hai hadi leo
Acha uongo bhana unakumbuka newforce alikuwa na yutong injini nyuma? Na kuna kampuni iliitwa Tonda unaifahamu?? Zote zilikuwa Yutong hebu niambie zile gari zipo wapi kwasasa japo mabaki tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.