HII NI KAULI YA DICTATORSHIP NA UJUHA USIO NA AKILI TENA PREMATURE KABISA HII NI DALILI YA FAILURE NDUGU YANGU KUMCHUKIA ADUI HAIONDOI UHALISIA WA UBORA WA WENZETU MM NAONA TUNGEWEKEZA KWENYE KUASIDIA MAENDELEO YA SOKA LETU KWANZA UPUUZI KAMA HUU LEO HII USINGETOKEA HAO HAO WAGENI...
Sio kweli hapa mitandaoni taarifa inaletwa kama ilivyo yaani ikiwa haijahaririwa bcoz taarifa mtandaoni anapeleka yute tu hata mjinga sasa hapo umepewa tip utasema ni taarifa?? Mfano mzuri ni huyu aliyeleta hii ya bwana Kibanio kuzindua redio taarifa haijakamilika
Hapa ningetemea angemaliza...
Mr Mitama nampongeza kwa kikubwa alichokifanya ila kiukweli sahivi jamaa amebaki kwny cha arusha too halafu kwanza kwa akili yake in and out sidhani kama hata anaweza kulea familia nilimuona juzi pale CMG miguu imenyooka hadi imekua milonjo mm naona jamaa atulize akili awekeze kwny akili then...
Mm
naona kwny issue ya waandishi tusiwanange sana hapa wa kuwauliza ni wahusika wa TRC kwa sababu hata hawa waandishi wao wamesema uhalisia na muda waliofika ambapo MD wa TRC bwana Masanja yeye asubuhi kbsa akihojiwa na kijaana wa Ayo tv alisema itachukua dk 90 lln uhalisia ukasema walitumia...
Ningekutumia picha sema ni vile maadili ya kazi yangu hairuhusu tu mzee hao ng’ombe sijui laki 1 or mia 9 sio kweli mana hata msosi watu jana walikosa sasa kama ng’ombe walichinjwa laki 7 si nguvu yake ingeonekana?
Tafuta mikocheni huwezikosa single self room ya 200k per month lipa mwaka unabakiwa na laki 8 then kwa kua umesema G& Kitanda unavyo nunua Fanicha za walau laki 5 ambayo ni maybe set ya viti kadhaa na kimeza cha normal then baki na laki 2 ya nauli za hapa na pale ili ukimwaga bisi za...
NILIKUWEPO ENEO LA TUKIO MBASHARA KBSA JOTI ALISEMA NA YEYE ANATAKA HIZO 10 M BASI WAKAZOZANA PALE IKABIDI BOSS APIGIWE CM AKASEMA NA JOTI ATAMPA 10M ZAKE
ILA HIZI FEDHA SIO ZAO HII NI KAMA MCHANGO WA TAJIRI GSM KWA TIMU ZA TAIFA SASA YY AKACHAGUA PPANDE WA GHARAMA ZA KUWASAFIRISHA MAJAMAA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.