Hakika mapinduzi,hayajikwa maneno tu bali hata vitendo, tukumbuke ya kwamba siku zote ukitaka kuifikia mbili ni lazima uanze na moja,nawapongeza sana CHADEMA kwa msimamo wao na waendelee vivyo hivyo kwani hata wanaharakati wa zamani kama akina martin luther king junior walianza kama...
Ktk karne hii ya 21 ,Dr slaa wewe ni shujaa wa karne hii na kilamtu analifahamu hilo.
Na kwakuwa WATANZANIA wote tunahitaji haki itendeke basi TUNAKUUNGA MKONO KWA UAMUZI NA KAULI ULIOFIKI,TUNAOMBA UENDELEE KUWA NA MSIMAMO HUO HUO NA PIA UKUSANYE DATA ZA KUTOSHA KABISA KUWA ANGUSHA HAWA...
Ni kweli na ni dhahili kwamba chama cha democrasia na maendeleo "chadema" ndicho kinachoongoza ktk uchaguzi huu wa tanzania bara,na ndio maana nec wamesuasua mno kutangaza matokeo na lengo lao kubwa ni kuchakachua matokeo.,..,...,
Katika misingi ya vituo vya habari vingi na kikiwepo tbc ni kwamba hawafuati maadili ya kazi na katiba,kwa sababu chombo cha habari hakipaswi kuonesha ushabiki wa waziwazi kwa chama fulani cha kisiasa,kimisingi ya katiba TBC wamekosea na hawapaswi kushadadia chama wala kupiga kampeni za waziwazi...
Mtu anaepaswa kuwa rais wa tanzania mi naona anapaswa awe na sifa zifuatazo:-
1)awe mtanzania kamili.
2)awe na akili timamu.
3)awe na umri usiopungua miaka 35.
4)awe na uwezo wa kusoma na kuandika.
5)na zaidi ya yote anapaswa awe mwadilifu.
Hizo ndizo sifa za mtu anaepaswa awe rais wa tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.