Ina maana ni lazima mtu asafiri kwenda Nairobi ili kupata visa??????
Au kuna agent hapa Dar ambae ana kusanya hizo applications na kuzipeleka kwa processing ya visa Nairobi.
Na je ni lazima kulipia tiket ndo ukatafute visa? Je ikikosekana na ticket umeshalipia inakuwaje????
Mkuu Bobby kama unazo document tuwasiliane. Line wa uwakala wa M-PESA zinapatikana bila tatizo na bila gharama yoyote (ni bure). Uwe na certified copy ya document zinazotakiwa.
Napenda kuwajulisha kuwa line hizi haziuzwi toa document zako ndani ya wiki 2 unapata line yako.
Mkuu Nigga, Uwakala M-PESA au tigo pesa unapaswa kupewa BURE ilimradi uwe na document zinazotakiwa.
Ambazo ni: Certified copies za Leseni ya biashara, TIN namba na Kitambulisho chako. Ukiwa na hizo document uwakala utapata bure (nazungumzia hasa M-PESA) ila utapaswa kuwa na mtaji wa kufanya hiyo...
Mkuu mimi nia yangu ni kufika miji ya Pemba na Nampula kwa usafiri binafsi ni njia ipi bora na inayopitika kirahisi {newala - boda - Mueda - Pemba to Nampula} au {Mtwara - boda - Mocimbou - Pemba to Nampula}?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.