Watu msifikie hatua ya kufikiria kwa ajili ya mtu mwingne, pesa ile ilikuwa na mgogoro ,ilikuwaje kabla ya kumaliza mgogoro pesa iwe ya iptl? tatizo wachangiaji wengi wapo kimaslahi, nchi haitaendelea kwa kuwa na watu wanaotazama matumbo yao.over
Nachelea kusema watu tunatumiwa vibaya, hv rushwa imetamalaki kila kona, hv kukemea rushwa bla vitendo kunasaidia? wangapi wamekemea ufisadi cjui malecela ane n.k lakima vitendo hamna. anakemea rushwa anakula rushwa. hvyo basi mleta mada huna nia ya dhati kwa hili bali sema una kambi fulani tu...
Kulingana na tafakuri yangu binafsi, nafasi unayo kubwa sana kumpata , basi pasha tena. lakn mm mtu akishakuwa ex.... nadelete kila kitu kwenye ubongo wangu au nachoma faili lake, so no remarkable at all.
Mimi ni afisa kilimo II WILAYA YA HANDENI ,TANGA,Nataka kubadilishana na mtu kutoka wilaya za kilolo, iringa mjini au iringa vijijini.kwa mawasiliano .0685786929
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.