Pole sana mkuu, ila hao wenzio hasa wa big four walikuwa na kazi za kuwaweka busy sana hizo changamoto za STDs walizipataje kwa ubize wao wa kazi? Ila nawe ubadilishe lifestyle ili uwe na amani, simaanishi kuwa upo kama wao ila naona una mawazo sana yanayoashiria kuna kitu hakipo sawa maishani...
Mkuu naomba kujua huko mkoani kwenu mnatumia chakula gani kupata protein kwa wingi? Ni soya, alizeti au dagaa?
Kama mnaandaa wenyewe chakula basi ulipaswa kuweka stock kubwa ya mahindi kipindi yalipokuwa na bei rahisi
Sawa umejibu vizuri sana juu ya chimbuko la ibada za jumapili na umuhimu wa siku ya jumamosi kwa wakristo wengine. Tena inaonyesha wewe ni mkristo msomi unayependa kuijua sana imani yako ndio maana unawajua hadi mababa wa kanisa kama uliyemtaja hapo.
Nakurudisha kwenye eneo moja bado ambalo...
Nikuongezee ugumu wa maswali unayojiuliza.
Idadi ya siku katika wiki na urefu wa siku unategemea upo wapi. Ukiwa sayari nyingine, mfano Mars, wiki haina siku saba au masaa 24 kwa siku moja kama hapa duniani. Swali la ziada kwako, wakati Mungu anaumba mbingu na nchi alikuwa amesimama duniani...
Nadhani hii taasisi sasa imeshashindwa kazi yake imeanza kunyonya watumishi. Najiandaa kwenda mahakamani nirudishiwe hela zangu walizoanza tena kunikata bila sababu
Kwa anayejua utaratibu mzuri wa kuishitaki hii bodi naomba ushauri wenu.
Safi, hivi ndivyo ninavyopenda... Twende kwa hoja! King James version ni moja ya tafsiri tu ambazo zinatofautiana na nyingine kwenye maana ya baadhi ya maneno. Je, ukweli unaweza potoshwa? Ndio inawezekana, hakuna sehemu ya maisha ya Binadamu ambayo shetani hajaingia. Ila sasa leta hoja ya...
Padre Pio naye ni wa mchongo? Lourdes je? Kata ticket uende Portugal ukaangalie vielelezo viko vingi tu. Au vitafute vingine kwenye mitandao.
Kumbuka maneno ya St. Thomas Aquinas... "To the one who has no faith, no explanation is possible and to the one who has faith, no explanation is needed"...
Kuna kitu kinaitwa "Principle of Double Effect" ambacho hutumika na wanateolojia kuelezea namna ya kufanya maamuzi katika mazingira kama hayo. Kitu kibaya kinapopelekea kutokea kitu kizuri zaidi.
Basi mkuu huenda uelewa wako ni mdogo sana kama huoni kwenye haya maneno hiyo quote inayosemwa. Jaribu kusummarize utaona ndio mle mle tu.
Ili kuthibitisha kuwa uelewa wako ni mzuri na hauko sabato kwa kubahatisha nijibu swali lifuatalo: je, ni kweli Mungu aliumba mbingu na nchi kwa siku sita...
Mkuu umeandika mengi sana. Nakupongeza sana kwa juhudi yako kubwa ya kupenda kuifuatilia kwa undani na kuitetea imani yako.
Soma vizuri Matendo ya Mitume na nyaraka za Paulo utajua ni nani alikuwa kiongozi wa Kanisa jipya. Ni nani aliitisha mkutano wa Yerusalemu kujadili swala la tohara kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.