Msaada wa Ndugu, katika hatua tuliyofikia
NAENDELEA KUSOMA:Ibara ya 42 ya Katiba ya JMT, 1977 kama ilivyofanyika marekebisho mara kwa mara inasema Rais akishatangazwa ataassume office mara moja au ndani ya kipindi kisichozidi siku 7.Ibara ya 51 (2) inasema Waziri mkuu akishateuliwa lazima awe...
Katika vijiwe kumi nilivyotembelea leo kuanzia Lumumba hadi Ofisi za NEC. Vijiwe nane vilikuwa vinamuongelea Lowassa wakati wanaCCM wako kwenye harakati za kuchukua fomu ya Urais.
Vijiwe viwili ambavyo vilikuwa na wavaaji nguo za kijani, wengine boxers zao ni za CCM walijisahau na kujikuta...
Wanajamii forum naomba nijulishwe kuhusiana na utaratibu wa uwandikishwaji wa kitambulisho cha taifa. Maana naona kama vijana umri wa miaka 18 hadi 30 wanazongushwa kweli, yaaani wakifika ofisi za serikali za mitaa wanaambiwa wakalete vivuli vya vyeti vya elimu, kitambulisho cha kazi...
A man stood at the gates of Sodom and cried out against sin. When it looked absolutely hopeless, a passerby asked him why he still bothered. He answered, "I used to cry out so that men would change their ways. Now I cry out so that they won't change me"
How much have you done to avoid becoming...
Ungependa wananchi wakukumbuke kwa yapi?
"Wanikumbuke kuwa nilikuwa rais niliyewatoa hapa nikawapeleka pale"
Kuna msemo mmoja katika vitabu vya dini unaosema kuwa "pasipo maono watu uangamia".
Ni kweli hatuwezi kupingana na uhalisia wa kuwa Mhe J. Mrisho Kikwete ni Rais wa watanzania wote...
Miaka mitano iliyopita ilikuwa ni miaka ya mapambano na mafisadi, kuvunja baraza la mawaziri mara kwa mara, safari zisizokwisha, kupanda kwa bei ya bidhaa, kushuka kwa thamani ya shilingi ya kitanzania. Ni miaka ambayo tumeona na kusiakia ya ajabu, kilimo kwanza kwa ajili ya makampuni ya...
Miaka mitano iliyopita ilikuwa ni miaka ya mapambano na mafisadi, kuvunja baraza la mawaziri mara kwa mara, safari zisizokwisha, kupanda kwa bei ya bidhaa, kushuka kwa thamani ya shilingi ya kitanzania. Ni miaka ambayo tumeona na kusiakia ya ajabu, kilimo kwanza kwa ajili ya makampuni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.