Ni yatima,ni watu wenyeulemavu, na wanawazazi wenye ulemavu...........
Chama kinachoshughulika na shida za watu.......
Kwa jinsi raia wa upinzani wanavyochangia humu ndomana CCM inashinda kila uchaguzi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengine hata hela yakununulia pipi tu hana....hivyo kila mmoja ni kupambana na hali yake tu......point ya msingi ni jambo zuri sana kuwa na made in Tanzania......
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Naomba kuuliza mkuu, nimikutano ya aina yoyote haihitaji ruhusa kutoka sehemu yoyote au ni ya kisiasa tu ndio haihitaji ruhusa?...
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
....Haki ya kikatiba, sheria, mahakama, vibali, polisi, mamlaka, demokrasia, mikutano ya kisiasa........SIASA.....
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Ndugu wananchi....
Msimu ujao wa ligi ya mabingwa Ulaya tunaweza kuufuatilia moja kwa moja kupitia Facebook.....
Hii ni kwamujibu wa Fox Sports kuungana na Facebook kurusha michuano hiyo moja kwa moja....
Tabia ninayo iona hapa ipo hata mitaani kwetu....... ukiwauliza wasanii hata muulize Diamond platnumz atakwambia wakati naanza kunawatu walisema siwezi kuimba siwezi kufika mbali.......hii tabia ni yakiasili zaidi kwa wa Tanzania, na baadhi ya binadamu wengi duniani......... Hawawezi...
Apple inamisimamo acha kabisa.....kutafuta terrorists watumie njia zingine tu lasivyo kung'ang'aniza kupata taarifa zawatu hivi kutapoteza ladha ya mitando yakijamii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.