MH. HAONGA mbunge wa mbozi na david silinde wa momba watakuwa na majibu maana nahisi hawa wote wilaya moja ya mbozi ingawa silinde kwasasa yupo wilaya ya momba. nahisi watakuwa wanamjuwa
pengine sijawgusa mboni ya macho. ila huo ndiyo ikweli.binafsi naamini ambacho mh.rais kamweleza askofu na kumtia nguvu. kuna watu wanafanya mambo ya hovyo as if wametumwa kumbe sifa tu tena za kijinga zinazo mgombanisha rais na wananchi.
Mwanahabari Huru Yote tisa, kumi ni muhimu kutambua kuwa uhuru wa kuzungumza ni haki kikatiba, watu waachwe wazungumze, ni vigumu sana kuwa na taifa lenye watu wenye mawazo yanayofanana na taifa hilo litakuwa taifa la wendawazimu.
Tunalipenda sana taifa letu na tunaipenda sana amani...
Nenda kasome kaka usikate tamaa. Meals and accommodation utapewa sawa na mwenye asilimia 100. Then bana matumizi yako utasoma tu hadi unamaliza. Usikate tamaa
Sina matatizo na maamuzi ya mheshimiwa rais.ila kuna maswali mengi ya kujiuliza na mojawapo na kama mkurugenzi kwa makusudi hakutengeneza hizo machine wakati pesa zipo
Kiukweli nimeumia sana kifo cha deo. Makamba atueleze hizo chopa alizikodi wapi na ni nani alizikagua. Atuweke wazi tofauti na hivyo hataeleweka mbele ya jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.