Search results

  1. A

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    TRA tangu jmosi hakuna mtandao nchi nzima.Ukiapply tin namba unaambiwa hivyo. Imagine,tangu jmosi hawatoi TIN nchi nzima.leo ni jtano. Hivi nchi hii tuna shida gani yarabi?!!
  2. A

    Gerald Hando amuuliza Januari, Dkt. Kalemani aliweza vipi umeme haukukatika?

    Niliwahi soma humu kwamba Makamba kapewa Nishati ili immalize kisiasa.Now i see maana siamini waandishi hawa wanaongea bila backup kwa mfumo wa nchi hii tunavyoujua ni wazi wametumwa kazi maalum na January ajiandae..ila atolewe tu aisee hamna hasara.Simkubali huyu mtu.
  3. A

    Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

    Hujaijua Jf vizuri wewe!ngoja litokee ndo utaelewa kuna watu wa aina gani humu.
  4. A

    Mabadiliko ya Sheria Subsection 47A kwenye Criminal Procedure Act (CPA) yanaenda kumuokoa Luteni Urio na Polisi wote wahusika kwenye kesi ya Mbowe

    Aisee,hivi hawa wanasiasa wanajua wanakotupeleka lakini?hivi hii nchi haina deep state?!eti Tumia akili hao jamaa zenu wana kazi gani ikiwa nchi inapitia vitu vya ajabu hivi?!mnaelewa madhara ya hili suala kwa baadae?!mnataka kuharibu ustawi wa nchi wote wa baadae kwa kusolve hizi ishu za muda...
  5. A

    Mabadiliko ya Sheria Subsection 47A kwenye Criminal Procedure Act (CPA) yanaenda kumuokoa Luteni Urio na Polisi wote wahusika kwenye kesi ya Mbowe

    Kwani hii kesi si imeshaanza?kama nna kumbukumbubu vizuri kesi ikishaanza inahukumiwa kwa sheria zilizokuwepo wakati kesi inaanza,na sio sheria mpya iliyotungwa wakati kesi inaendelea,na hii ni hekima ya wazee kuepusha mahakama kugeuzwa kichekesho maana kama tukiamua uhuni wa hivyo...
  6. A

    Taifa la Tanzania mikononi mwako Mungu

    Wachache tunaokuelewa tunasema Amin 🙏
  7. A

    Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

    We Tumaini waambie deep state wenzio sawa,taarifa imefika,ila Mungu anasema mwaka huu jamaa zenu watavurugana sana,wasipochutama na kuacha udhalimu utakuwa mwanzo wa mwisho wa ccm and 5 years to come (2026) it will be over,self sabotage is in the process now. Vilio ni vingi huku mitaani,haswa...
  8. A

    #COVID19 Waziri Gwajima: Watu 7 kati ya watu 10 wanaokufa kwa Corona wanakuwa hawajachanjwa 3 tu ndio wamechanjwa!

    Waziri aseme pia ni watu wangapi wanaugua na kupona bila dawa wala chanjo,then tulinganishe kuona kama huo ugonjwa umefika emergency state ambayo wao wanapambana kila siku kutuaminisha.
  9. A

    Kesi ya Mbowe: Mzee wa Upako anena Mazito

    Kuna clip moja Lusekelo pale mwishoni anamkanya mtu mzima yupi?nilidhani anamzungumzia mama ila mama sio mkristo,sasa huyo mtu mwenye maamuzi serikalini (anaekataa kumwachia Mbowe) na ni mkristo maana anaambiwa ukristo hautaki mabavu, ni nani?btw lines naona anazungumzia mtu mwingine tena...
  10. A

    Adhabu ya kunyongwa hadi kufa ndio Siri ya uchumi mkubwa duniani

    Kuna hekima kwenye utungaji sheria mkuu.Unapowaza sheria itungwe,fikiri na the negative side,hasa matumizi mabaya ya sheria hiyo. Hii ni Africa,sio China.
  11. A

    #COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO), laonya kuhusu chanjo ya lazima

    Hakuna mtu asiyechanjwa ambaye anasafiri nje ya nchi yake sasa hivi. Lakini kila siku sehemu mbalimbali duniani wanadakwa wageni wakiwa na maambukizi ya covid. Huyo omicron wanasema katokea Africa na kuingizwa nchi zao na wasafiri toka huku.Sasa kama wanaosafiri wamechanjwa,na bado wanaeneza...
  12. A

    Majini: Viumbe vyenye roho hatari na wivu uliopitiliza

    Mshana Jr vipi kwa wanaume,hakuna jini linalopenda kukaa nao?utakuta mtu yupo yupo tu haoi na hapendi wanawake.
  13. A

    Dar: RC atangaza usafi wa nyumba kila mwisho wa mwezi

    Pale wananchi wanapotaka kiongozi wao asikike akizungumzia changamoto zao za msingi kama maji,umeme,masoko,usafiri etc,then unasikia minor issues kama hizi,hili linchi ni la kuondoka tu sasa mss!
  14. A

    Suala la Maji: Utawala corrupt unatuletea shida, Mchina akamatwa akichepusha maji mto Ruvu kumwagilia mboga

    Mkuu,kwa mujibu wa mzee Kasesela hapo hizo ni lita milioni 2 zinatolewa zisilete madhara kwenye mitambo. Kwa hiyo lita milioni moja ni nusu ya hayo maji uyaonayo hapo. Tunaambiwa tena mchina anayatumia ndani ya lisaa tu,kumwagilia matembele na mchicha ..maamae bongo tunaonana wajinga sana!😆
  15. A

    Godbless Lema: Rais Samia na Makamba wanatafuta mbinu za kumbebesha lawama hayati Magufuli

    Hao wanaombebesha lawama hayati wasitutie dhambi,kwani Magu alikuwa Chadema?!serikali yao si ile ile?!sasa iweje waone failure ya Magu haiwahusu?!mama hakuwemo serikali ya Magu?January ni TLP?!embu acheni kutufanya hatuna akili!rudisheni umeme na maji haraka.😡
  16. A

    Suala la Maji: Utawala corrupt unatuletea shida, Mchina akamatwa akichepusha maji mto Ruvu kumwagilia mboga

    Wakati mchina anaanzisha irrigation yake huenda hali ilikuwa hivi hapo chini,leo mnaanza kumwita khanithi?huu ni umaamuma wa kiwango cha tiles! Nchi yenye mvua nyingi kama hii,mnaacha maji yanapotea halafu mnalalamika one year later,pale koki za mbinguni zinapofanyiwa service na Mzee...
Back
Top Bottom