Hilo unalotaka bila dalali labda mapori ya serikali huko nanjilinji ila hapa mjini nikupe taarifa hata ndugu yako wa damu atakupiga cha juu aka atakudalalia hata kama hataki
Nakujuze tu Kwamba wazo lako ni nzuri umefanya la maana kulileta hapa hivyo fanya hima uanze kwani tayari kuna mwalimu mmoja wa chuo kikuu udsm tayari huu ni mwaka wake wa pili anafanya hii biashara unayo sema kwa kutumia vijana na wakati mwingine huenda front , na huyu ni wa pili kati ya ninao...
Hii biashara ipo kwa naamna mbili yenye kufuata sheria na yenye kufuata taratibu za kimazoea japo kuwa kwa sasa imepoa kidogo kutokana na halialisi ya kutokueleweka ya kiuchumi.
Nianzie na yenye kufuata sheria
Hii kidogo inahitaji mtaji kiasi kulingana na unako lenga hasa kwa mfano unataka...
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja.
Bei kuanzia tsh 1.5m tu
Kwa taarifa zaidi piga 0715338989
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja.
Kwa taarifa zaidi piga 0715338989
Ukubwa kuanzia Mita 20x20 bei kuanzia 4.5milion pungufu mnaongea, viko eneo la makazi sehemu nzuri, umeme upo, maji yapo na barabara nzuri.
Kwa taarifa zaidi piga#0653367580
Ukubwa kuanzia Mita 20x20 bei kuanzia 4.5milion pungufu mnaongea, viko eneo la makazi sehemu nzuri, umeme upo, maji yapo na barabara nzuri.
Kwa taarifa zaidi piga#0653367580
huyu jamaa hayuko serious nijuzi tu alinukuliwa akisema mafisa ardhi wanahujumu miradi ya viwanja kwa kujiuzia wenyewe Kisha kuviuza kwa bei kubwa kwa Wananchi hivyo Wizara imeamua kuandaa Mkakati wa Makampuni binafsi kufanya kazi ya upimaji ardhi.
job :Accountant - 1post
Employer :kabone contractors Ltd S. L. P 33081 D. S. M,
email : hrkabonecontractors@gmail.com
Date published : 24-05-2016,
Application deadline :15-06-2016.
Job summary :
N/A
Duties and Responsibilities :
. Kuandika na kutunza 'register'...
Job Title : Project Manager
Requirements :
1.University degree in civil engineering or related.
2.Three years working experience in civil or related.
3. Project management professional (PMU) will be added advantage.
If interested send your cv at hrkabonecontractors@gmail.com
Huyu Rais a naanza kuwa jipu, ndio maana anafanya vitu gizani, anaficha ukweli anadanganya wananchi.... Sukari akagawie ndugu zake watanzania wanahitaji ujuzi na kazi sio vitu vya bure
Naona Rais akipoteza sifa ya kuwa kiongozi, anatumia ujinga wa wananchi kutafuta sifa. Sukari hakuna na hakuna aliye ficha....na analijua hilo bei imepanda kutokana na ubaba na sio kuficha
Kiu kweli inauma sana kusikia watu hawatumii Akili tena, na niviongozi tunao waamini, Leo kiongozi a nafikiri watu 40m wamesahau mihemko waliopewa kuhusu kigamboni na mapicha kibao walio kuwa wamebandika bale wizarani na zingine Kwenye mitandao. Tukaambiwa kigamboni itakuwa kama Dubai Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.