Fuso ndogo ya kwaida kwenye bodi yake wameweka ujazo wake kama 4 cubic metre, sasa ndoo ya lita 20 ni sawa cubic metre 0.02 hivyo 4cubicmetre gawa kwa 0.02 cubic metre utapata kiasi cha ndoo 200 ya lita 20.
Unauhakika kwani hata wasiopata chanjo ya corona pia wengi wanaparalaiz kwa maradhi mengi,mimi na wengine wengi hapa kjijini tuliopata hiyo chanjo tupo fiti tunadunda. Gwajima ni mwongo sijawahi kumwamini
Asante kwa maelekezo mazuri, je kunatatizo kama ndani thermos nitaweka maji yaliyo baridi yakunywa ndani ya friji? kwakuwa kutoka hapo ninapochuka chanjo Arusha mpaka kijijini itahitaji masaa 12 hadi 24 kabla ya kuwapa kuku.
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Kabla ya chanjo niliwapa OTC plus na hawakuwa wakiumwa, walikuwa vizuri tu ni baada ya siku mbili niliwapa chanjo.
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Nina kuku wakubwa ambao nawatumia kama wazazi,pia nina vifaranga wa takriban miezi 3 na nusu,mara mwisho niliwapa chanjo ya kideri tar. 20.8.2023 na hapa kati nilikuwa na vifaranga wengine wapatao 40 wenye umri wa mwezi moja ambao niliwapa chanjo ya kideri juzi tar. 4.12.2023 ikiwa ni pamoja na...
Hivi kweli Bashite waliomweka Uenezi wamefikiria nje ya box,ni mtu mwenye majivuno na hana nidhamu kabisa pia fedha anazotoa takukuru chunguzeni amepewa na chama au ameanza vitisho vyake kwa wafanyabiashara kuwalazimisha wamchangie.mfano eti amempatia gari mwalimu aliyedhulumiwa gari.
Waafrika wote sio wabantu kuna nilotics,cha msingi ni kuachana nao na kuanzisha African Catholic (AC) badala ya Roman Catholic(RC).Tangu Papa watoke nje ya Roma Kanisa Katolic inazidi kupotoka.
Sisi wa kwetu hata darasa la saba hajamaliza akakimbilia kulima vitunguu akapata fedha kidogo ya kuwahonga wajumbe ccm wapitishe kura ya maoni,ndiyo mbunge asiyejua kiswahili na bungeni anakaa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.