Habari wakuu
Mimi simu yangu natumia mtandao wa vodacom nikipigiwa wanasema namba imefungiwa kwa muda ila mimi kupiga napiga.
Msaada wakuu ili niwe hewani.
Habari zenu wakuu eid mubaraq husikeni na kichwa cha uzi wangu apo juu ninaomba kujua au kuambiwa na wanajamii forums juu ya bima ipi itanisaidia endapo nitapata ajali ya nyumba yangu ya kibiashara au jengo langu la kibiashara.asanteni wakuu jengo langu lina thamani ya milioni mia moja.
Habari wakuu usikeni na kichwa cha habari apo juu simu yangu samsung galaxy s7 edge tangu juzi imeanza tatizo la kutofungua camera please wajuzi tusaidiane niweze tatua ili
tatizo.
Habari waungwana wa jf nina simu yangu samsung s7 tangu jumapili imeanza matatizo ya kuwaka na kuzima kuzima na kuwaka ata apa kabla sijaanzisha huu uzi imezima na kuwaka wakuu samahan nisaidieni ushauri tatizo ni nini au kama kuna fundi umu jf nipo tayari kuigharamia itengenezwe.natanguliza shukran
Habari wakuu husikeni na mada apo juu kwa takriban wiki mbili au tatu zilizopita nimeruka majoka na shemeji yenu she is 19 yrs old mm 23 sasa leo wadau nipo mazingira ya ofisini kwangu nikasema ngoja nikafungue kinywa.Nikaenda kunywa supu ya utumbo ghafla kabla ata sijamaliza kula supu tupu...
Kama tittle ya thread apo juu wakuu naitaji simu used kati ya samsung galaxy s6edge na s6edge+ au samsung galaxy s7 au s7edge.aliyenayo anichek 0655073009
Wakuu habari za mchana samahani kwa kuwasumbua ni hivi katika pilikapilika za eid mosi mnamo jumatatu nimeangusha simu yangu samsung galaxy s6edge plus.Nataka nijue je kuna uwezekano wa kuipata manake hata sijui sina hata miezi sita tangu ninunue.
Habari waungwana poleni na mihangaiko ya kutafuta ridhiki.Ngoja niende katika mada husika na nimekuja hapa jf kupata upembuzi wa jambo hili linamkabili dada yangu kwa majuma kadhaa ana vidonda mguu wa kulia vimejaa kweli na vina weusi kiasi.Naomba kujua tiba ya tatizo lake sababu hapa jf kuna...
Wakuu wa nchi habari zenu natumai mu wazima,aidha niwape pole kwa shughuri nzito za ujenzi wa taifa letu.Ndugu zangu nina malalamiko kuhusu mtandao wetu pendwa wa vodacom hawa jamaa nawakubali kwa speed yao ya intanet but now nafikiria kuwakimbia kabisaa nisirudi nyuma kwani wamezidi kutunyonya...
Habari wakuu,
Ni hivi nina msichana wangu wa kitambo kidogo na mimi ndio nilimtoaga usichana sasa alihama mitaa yetu kuna mahali anaishi.
Sasa kipindi hiki nimempa ofa ya ndoa amegoma kuishi na mimi na nadhani hata tabia zake ni za ajabu kwani avai nguo za stara mimi nilitaka nimbadilishe but...
Habari wakuu natumai mwaendelea vyema na shughuri ya kujenga taifa letu ni ivi wakuu naomba msaada wa apps aina mbalimbali na games za kijanja niinjoy hii simu natanguliza shukrani wakuu
Habari wakuu katika jukwaa la elimu,
Nina shida moja nina mdogo wangu wa kike amefanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana matokeo yametoka amepata zero sasa amekaa home lakini sasa ivi anajutia na anaomba asome sasa nishaurini kutokana na matokeo yake asome fani gani au arudie mtihani na kama...
Wakuu nina tatzo na simu yangu huwa inadownload apps za apus kila nikifungua phone browser tatizo hili linapelekea simu yangu kuisha kifurush cha intanet mara kwa mara msaada wakuu tafadhari
Wadau wa JamiiForums naomba mnijuze au mnipe wavuti wa kutazama online football especiaally uefa leo.
Natanguliza shukrani zangu kwenu greats thinkers.
Jamani kama mnavojua leo ni UEFA Champions League tulio wengi tunapenda mechi za Ulaya tatizo DStv hatuna na gharama kubwa kulipia.
Mwenye kujua websites yenye kuonyesha live mpira msaada tafadhali na mechi ndo saa 2245:smile-big::smile-big:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.