Hivi karibuni kuna baadhi ya dawa na baadhi ya vifaa vya kutolea huduma vimeondolewa kwenye bima ya NHIF
Sasa leo mtoto alipelekwa hospitali katika kuangaliwa ilibidi apewe dawa ya kushusha joto mwilini
Dawa hiyo inatolewa kwa njia ya mishipa ya damu ( I.V) cha kushangaza tumeambiwa I.V...
Viongozi na watanzania kuna jambo la kujifunza kutoka nchi jirani ya rwanda
Barabara zao ni nzuri na hazina matuta
Camera zimewekwa barabarani ilii watu waendeshe kwa kufuata sheria
Boda boda zao zote waendeshaji wanavaa helmet pamoja na abiria wao na pia pikipiki hazijatolewa side mirror kama...
Kuna ka eneo kangu ka urefu wa 13M kwa 20M ,eneo ni tambarare kabisa ilaa naona katavamiwa na majirani maana ujenzi eneo hilo umepamba sana moto.
Nataka nijue niandae
Tofari ngapi
Simenti mifuko mingapi
Mchanga kiasi gani
Nondo ngapi
Na je kwa uzoefu fundi atalipwa kiasi gani na eneo ni Dar es...
Ndugu wana Jf,
Kwa Mtu asiye mtaalamu atatambuaje mbao zilizo na dawa na zisizo na dawa? Na je bei za mbao kwa sasa ulipo ni kiasi gani?
Mfano
2*2
2*3
2*4
Katika kipindi hiki cha mfumuko wa bei.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Nianze na salamu kwenu wana JF
Nikiwa kama mwanaume ambae nimeoa na kubarikiwa watoto wa 2 niseme tu naheshimu hali ya ujauzito kwa mwanamke kwan mateso ya uchungu nimeyaona
Na pia nawapongeza madaktari kwa kazi kubwa wanazofanya kutusaidia kulete viumbe hivi duniani vikiwa salama kwa...
Ndugu wana JF, mwezi wa.12 /2020 nilifiwa na mamangu mzazi.
Leo saa Tisa na dakika kumi usiku (12/5/2021) nimeota ndoto niko na mdogo wangu nashusha mteremko kwa miguu nikitokea mjini Iringa kuja Ipogolo maeneo ya kitanzini tumekutana na mama akiwa kabeba kikapu chake anapandisha mjini yaani...
Ndugu mwana jf pamoja na maisha yote tunayoishi na kufurahia tutambue kwamba hatutaishi milele kifo hakichagui umri bali iman kuwa mzazi utakufa au kuzeeka mapema kabla ya wanao
Msingi wa uzi huu ni wazazi tujitahidi kuwataftia watoto connections ,tafuta pesa peleka mtoto shule nzuri atakutana...
Ndugu wana jf inafahamika kwamba bima ya afya unalipia sio huduma ya bure kwani unakatwa kwenye mshahara wako .
Nimesikitika kunyimwa haki ya bima ya afya ya mke wangu wa ndoa kisa jina langu nililotumia ni la ubatizo ni tofauti na majina ninayotumia katika vyeti vyangu vya taaluma ,cha...
Kwanza kabisa naipongeza Serikal kwa kusimamia maadili ya Utumishi wa Umma hii imesaidi sana kupunguza malalamiko na kuleta maendeleo chanya .
Ndugu wana JF siko kutetea uovu wala kupingana na amri ya mahakama ilaa Nina mawazo fikirishi kuhusu adhabu aliyopewa huyu muhujumu uchumi Aloyce...
Habarini za kwenu ndugu wana JF, poleni sana na mihangaiko katika kipindi hiki kigumu cha Corona ambapo biashara zimekuwa ngumu na maduka mengi yamefungwa ila ni imani yangu hali itarejea shwari na mambo yatasonga kama zamani.
Lengo la uzi huu ni kutoa shuhuda ya kweli jinsi kujifukiza...
Nimevutiwa na aina hii ya bajaji inaitwa maxima Z kwamba inaweza beba abiria mpaka sita
Nataka kujua zinapatikana wapi ,na je ubora wake ukoje pamoja na bei zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wana JamiiForums nimeandika kitabu changu kidogo cha kama page 100 hivi, kutokana na kuwa na budget ndogo kama laki 7 hivi kuna mtu kanishauri kununua printer, paper cutter na stepla ili nitengeneze kitabu mwenyewe baada ya kudesign cover ya kitabu na kila kitu. Hii ni kutokana na gharama...
Habari wana JamiiForums,
Kuna kitabu changu ninakiandika, na bado kidogo kukimalizia. Nataka kujua ni utaratibu gani niufuate ili niweze kukiingiza sokoni na pia nahitaji kujua gharama za ku-print kila copy moja ya kitabu chenye page chini ya mia moja.
Moja kati ya magonjwa hatari kwa sasa ni hili la HOMA YA INI,na moja ya njia za kuenea ni vaginal fluids n.k ni mda mwafaka kwa watafiti kuja na zana mfumo wa kondom watu wazivae wakati wa oral sex ili kujikinga .
Ndugu wana jf kuna ndugu yangu alikua anaomba mkopo ila katika kujaza form online amekutana na utata huu
1.Ukitumia browser ya moxilla firefox -upande wa kuselect district mtu anatokea inagoma haioneshi mpaka utumie google chrome
2.ukifika kwenye section ya wazamini ukitumia browser kama moxilla...
Habar wana jf.mwenye uzoefu wa hizi pikipiki kubwa mfano wa BAJA XLR ubora na bei zake kwa dar es salaam maeneo zinapopatikana nataka nijipinde nitafute moja ya mizunguko yangu ya hapa na pale naona itanifaa kwa folen za dar kuziepuka na pia wenye magari wasinibarasee sababu najua nikitafuta...
Habar ndugu wana jf.hivi kwa dar mizani inapatikana wapi kwa wingi na kwa bei gani.na nitatambuaje ubora wa mzani na kama umepigwa chapa ya Wakala wa vipimo?
Napenda kushauri graduate wote ambao hawapo kwenye ajira rasmi za Serikali na mashirika binafsi kuwa mwakani 2020 kuna fursa kubwa ya ajira katika nafasi mbali mbali za kisiasa kama udiwani,ubunge na urais
Hivyo kama ambavyo mnajazana kwenye usaili wa ajira tena katika nafsi moja au mbili tuone...
Figo ni kiungo muhimu sana katika mwili wa mnyama na binadamu kwa kufanya kazi nyingi ikiwemo kutoa taka mwili n.k
Figo hukumbwa na matatizo mbalimbali ambazo huathiri utendaji wake kazi.
Leo ningepende tushirikishane mambo kadhaa ambayo hupelekea kiungo hiki muhimu kisifanye kaz yake ipasavyo...
Nataka niagize bidhaa china kuna mtu alinigusia Kua naweza agiza kwa kutumia hawa alibaba nimedownload app yao nakupitia pitia bidhaa ninazotaka nimeona bei ni rafiki kabsaa
Ila kitu ambacho sikijui ni kuhusu kodi ya hizo bidhaa baada ya kuagizaa zinakuwaje na pia gharama ya kusafirisha mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.