Search results

  1. K

    Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

    Eeeeehhhhhh......!!!!!!! Napita mimi naelekea tukuyuuuuuuu......!!!!!!!!
  2. K

    CHADEMA Imeshapoteza Majimbo ya Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015

    Mbona shemeji naye anapenda dada zetu balaa husemi....!!!!! Kaoa kila kona sasa husemi...!!!! Slaa kamwanamke kamoja unaongeeeeaaaaa.....!!!!!!
  3. K

    Jeshi la polisi limfukuze kazi askari huyu mara moja!

    Kwani jeshi maana yake ni kuloa...!!!! Pale wanajeshi, polisi, madaktari, usalama wa taifa na wengine unaowafahamu waliovushwa ni wengi mno. Sema yeye kavaa sare. Lakini yeye kuwa polisi hakumuondolei ile hali ya kuogopa mvua. Amefundishwa kulinda raia na mali zetu na hakufundishwa kuloa mvua...
  4. K

    MUGABE: AFRICAN HERO?

    Yes jembe Mugabe baba. Keep on...!!!!
  5. K

    Yaliyojiri katika Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM Songea Mkoani Mkoani Ruvuma

    Mmmmmmhhhhhh.....!!!!!!!! Leo anamkumbuka Baba wa Taifa kweli...!!!! Katika miaka yote hii kumi amemuenzi vipi Baba wa Taifa. Hizo safari zake si azimalizie kwanza maana hatosafiri tena kuanzia mwezi wa kumi mwaka huu.....!!!!!! Sijui atakaa kule chalinze mzee kwenye lile kasri alilolijenga kwa...
  6. K

    Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

    Nashukuru yamekuingia maana ya kale hayanuki...!!! Usirudie tena Mkuu...!!!!
  7. K

    Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

    Wewe una hamu na matusi jumapili ya leo na utayapata tu. We unadhani kuna mtu mzinzi kama huyo kiongozi wako...!!! Yule mzee jela maisha kisa mwanamke...!!!! Wake za watu wangapi anawapiga pumbu...!!!! Huyo mke wa mtu anayeishi na Slaa kwani ni chizi na hajui kwamba ana mumewe original. Si aende...
  8. K

    Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

    Pumbavu sana wewe...!!! Unamtukana amekukosea nini...!!!! Kwani uarabuni hawapigani...!!!!??? Au hiyo vita imeanzia kimbari tu...!!! Jinga wewe. Marufuku kumtukana mtumishi wa Mungu. Ukome...!!! Nchi ngapi za kiislamu zinaongoza kwa mauaji wa kinyama...!!!! Hebu ongea ukweli wako au huko kuna...
  9. K

    Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

    Kwani Yesu hakuwakemea wanasiasa kwa matendo mabaya...!!!??? Hebu soma tena hiyo Biblia vizuri mkuu....!!!!!
  10. K

    Padre Baptist Mapunda atoa somo gumu Songea leo

    Kwani Yesu hakuhubiri siasa...!!!! Ama Yesu hakuwashambulia wanasiasa...!!!!?? Pumbavu...!!!! Maandiko hujui kazi kuongea ongea tu. Kaa kimya kama huna neno Mkuu...!!!! Unasababisha jumapili ya leo iende vibaya sana kwangu....!!!!! Sima neno la Mungu vizuri...!!!!!
  11. K

    JWTZ yaapa kupambana na majambazi wanaopora silaha za askari

    Sina hakika na hilo kama wataweza. Siku hizi hawana tena ule ujasiri wa Mwalimu....!!!!
  12. K

    Hii kali! wife kanipongeza kwa kuchepuka

    Aisee umenitoa udenda sana kusoma kumbe ujinga mtupu. Hata hivyo nashukuru kwa kuniondolea stress week end. JF hoyeeeeeeeeee......!!!!!!!!!
  13. K

    Hivi Kitimoto ina Uspecial gani?

    Astaka...!!!! Unajua wewe jamaa kuanzia sasa kichwa chako halali yangu. Na lazima kinipeleke peponi tu...!!!!
  14. K

    Hivi Kitimoto ina Uspecial gani?

    Unaungana naye...!!! Sawa bana. Jua tu nikiondoka na kichwa chako ni baraka kwangu...!!!!! Allah....!!!!!
  15. K

    CCM kufanya Maandamano makubwa ya kihistoria Songea kesho

    Na hiyo id yake kazi kubwa Job 'K' kazi ipo....!!!!!
  16. K

    Hivi Kitimoto ina Uspecial gani?

    Hivi wewe nikiondoka na kichwa chako nitalaumiwa kweli jamani....!!!! Allah.....!!!!!
  17. K

    Hivi Kitimoto ina Uspecial gani?

    Balaa ikukute wewe mtoto leo...!!! Umerogwa nini....!!!!!!
  18. K

    Hivi Kitimoto ina Uspecial gani?

    Laana tul.....!!!!! Wewe. Huna hata haya..!!!!
  19. K

    Askofu Mwamasika: UKAWA sawa na muunganiko wa Walevi

    Askofu....!!!???? Aende zake hukoo....!!!
Back
Top Bottom