Kwani jeshi maana yake ni kuloa...!!!! Pale wanajeshi, polisi, madaktari, usalama wa taifa na wengine unaowafahamu waliovushwa ni wengi mno. Sema yeye kavaa sare. Lakini yeye kuwa polisi hakumuondolei ile hali ya kuogopa mvua. Amefundishwa kulinda raia na mali zetu na hakufundishwa kuloa mvua...
Mmmmmmhhhhhh.....!!!!!!!! Leo anamkumbuka Baba wa Taifa kweli...!!!! Katika miaka yote hii kumi amemuenzi vipi Baba wa Taifa. Hizo safari zake si azimalizie kwanza maana hatosafiri tena kuanzia mwezi wa kumi mwaka huu.....!!!!!! Sijui atakaa kule chalinze mzee kwenye lile kasri alilolijenga kwa...
Wewe una hamu na matusi jumapili ya leo na utayapata tu. We unadhani kuna mtu mzinzi kama huyo kiongozi wako...!!! Yule mzee jela maisha kisa mwanamke...!!!! Wake za watu wangapi anawapiga pumbu...!!!! Huyo mke wa mtu anayeishi na Slaa kwani ni chizi na hajui kwamba ana mumewe original. Si aende...
Pumbavu sana wewe...!!! Unamtukana amekukosea nini...!!!! Kwani uarabuni hawapigani...!!!!??? Au hiyo vita imeanzia kimbari tu...!!! Jinga wewe. Marufuku kumtukana mtumishi wa Mungu. Ukome...!!! Nchi ngapi za kiislamu zinaongoza kwa mauaji wa kinyama...!!!! Hebu ongea ukweli wako au huko kuna...
Kwani Yesu hakuhubiri siasa...!!!! Ama Yesu hakuwashambulia wanasiasa...!!!!?? Pumbavu...!!!! Maandiko hujui kazi kuongea ongea tu. Kaa kimya kama huna neno Mkuu...!!!! Unasababisha jumapili ya leo iende vibaya sana kwangu....!!!!! Sima neno la Mungu vizuri...!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.