It may sound strange but this has been my major wish for a while....
Nataka kupenda kama mjinga, yaani niwe zombiee, nizame mapenzini nipotelee huko...
Kila nachoambiwa nione sawa niwe mjinga mjinga no reasoning...
Yale mapenzi usipowasiliana ama kumwona mtu wako for a day unajisikia mgonjwa...
KAMA LIGI KUU YA UINGEREZA INGEKUWA DARASA LA SHULE YA SEKONDARI.
1.Liverpool ni mwanafunzi anejisifia na kuona ana akili kwa kuwa babu yake alifaulu kwa division one japo yeye anapata zero.
2.Manchester city ni mwanafunzi wa kishua ambae wazazi wake wanamnunulia vitabu vingi na vya gharama...
Mbunge wa Kyadondo nchini Uganda Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amekamatwa muda mfupi baada ya mahakama ya kijeshi kumuondolea mashtaka ya umiliki haramu wa silaha nchini.
Muda mfupi baada ya kuachiliwa huru, Wine alikamatwa tena na inaarifiwa kwamba anatarajiwa kushtakiwa katika mahakama...
My mom
My Everything
My woman
Am speechless
HAPPY BIRTHDAY Mwanamke uliyenifanya niwe hapa nilipo...
Nakupenda sana mama angu!!
Wow...Kiukweli I don't have full words of explaining how the world chear up, ulivyokuja ulimwenguni. Congratulations the Most Beautiful Woman!!.
Yaaah we are...
Mapendekezo ya kuundwa kwa Chama Cha Mapinduzi yalitolewa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Katika kikao cha pamoja cha NEC ya TANU na NEC ya Chama Cha ASP cha Zanzibar,
kilichofanyika Dar es Salaam, Septemba 5, 1975, ili kuimarisha zaidi Muungano.
Rais wa Zanzibar wa wakati huo Alhaji Abdul...
Habarini za mida wana jf,
Mwenzenu nimekuwa katika hali ya mateso ya uchovu usioisha na mara nyingine kutapika kila asubuhi kwa muda mrefu sasa yapata miezi misita sasa na mke wangu mjamzito naugua lakini ninachougua hakijulikani.
Yan kuna muda huwa natema tema mate ovyo ovyo lakin mke wangu...
Nani ambaye hamjui Dikteta Adolf Hitler? Adolf Hitler ni mtawala maarufu zaidi katika karne ya ishirini, kiongozi wa chama cha Kinazi aliyeitawala ujeruman kati ya mwaka 1934 mpaka 1945. Kama ulikuwa hujui, hitler ndiye mwanzilishi mkuu wa vita ya pili ya dunia.
Yafuatayo ni mambo usiyoyajua...
Maswali na Majibu kuhusu Ukaguzi wa Leseni ya Udereva
1. Je ni Madereva baadhi au wote wanahitajika kukaguliwa Leseni zao?
_Zoezi la kuhakikiwa Leseni ni kwa Madereva WOTE wanaomiliki Leseni za Udereva._
2. Je uhakiki ni kwa awamu au wote wanatakiwa kuhakikiwa kwa wakati mmoja?
_Zoezi...
Hiki kitu kinaniudhi na bahati mbaya zaidi sasa sijui kila mwanamke anacho.....??
Ni huu ugonjwa wa kununa na kususa kwa jambo doogo.....
Mtu unaweza kununiwa hata mwezi mzima, mpaka ukahisi
labda love ishakufa na sasa ufanye 'maamuzi' mengine.....
Nimerudi kutoka kazini Mke wangu kanuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.