Mkuu naona hukunielewa, siongelei thamani ya ardhi, mahala popote ardhi inapanda thamani with time, mimi hapa naongelea uwezekano wa kuishi mahala ambapo baadae utaonekana hutakiwi kuwepo, hii nchi ipo kwenye safari ya michafuko ya kidini, mukulu ameisha lianzisha, litakapo komaa wapo watu...
sasa hivi unaweza kununua bado hali haijakuwa mbaya kama ya bokoharam, lakini kwa safari hii ambayo tumeishaianza lazima tutafika huko, na tutakapofika baadhi ya watu lazima watayakimbia baadhi ya maeneo kunusuru maisha yao, sasa kama kuna vitega uchumi mtu amewekeza au hata kajumba kake ka...
Hii nchi inaelekea kubaya kabla ya kununua kiwanja angalia pia na itikadi za kidini zinazotawala eneo hilo, kama unakubaliana nazo basi nunua, vinginevyo baadae mtu utajikuta unalikimbia eneo, unaacha investment zako. Mimi sina tena imani na nchi hii, nigeria ingine, Afrika iko laana
gombea nafasi yoyote ya uongozi kupitia chadema, watakuja kukupa mafunzo, uive, uwe kamanda, lakini kama wewe ni ccm basi hilo ni somo zito huwezi kulielewa
Mlio karibu na mkulu mshaurini akatishe harakati zake za kuishangaa snow na kupiga picha na cerebrity wa ulaya, huku nyumbani kuna moto unafukuta! Mwanza (wafugaji hawaruhusiwi kujichinjia kitoweo chao), Moro (wakulima wanadai ardhi yao), Kibiti (Polisiccm wanaendeleza mauaji kwa raia), mtwara...
Inasikitisha sana yaani, watu wanasahau ukweli kwamba kihistoria tanganyika, rwanda na burundi ziliwahi kuwa nchi moja, chini ya mamlaka moja ndani ya nchi ikiitwa German East Africa??
Mzee acha hasira, watu ni primitive kwa sababu ya serkali yako, hata wewe ni primitive tukikulinganisha na raia wa mataifa yaliyoendelea kama Japan, Germany nk, hako kabibi ni Tanzanian hero, Hana vifaru wala risasi kama ccm, kwa kutumia silaha pekee aliyo nayo ya itikadi za jadi ambayo wewe...
Kauli thabiti hazitolewi kwa sababu hao wanaotakiwa kuzitoa hawapingani na wale waliopo kwenye mtandao unaoeneza udini, watoa kauli wamekuwa sehemu ya kampeni za kueneza udini na dhuluma dhidi ya dini pinzani.Hivi kweli mtu anavamia shule (public institution), anafanya uharibifu wa mali ya shule...
Watu wanafiki tu, ukweli uko wazi na suala si madaraka makubwa ya uraisi bali udhaifu na ubaguzi wa kidini wa huyu tulienae, awamu zilizo tangulia mbona maraisi walikuwa na madaraka haya haya na hayakuonekana makubwa? Ulofa wa huyu aliyopo usitusukume kuifulumusha taasisi ya uraisi, tunaweza...
Kambona alikwenda kama mkimbizi wa kisiasa, ukiwa na refugee status unapewa kila kitu bure, hujasikia wazenji wanavyo jilipua huko UK na kwingineko kama wakimbizi wa kisomali??? ha ha ha ha ha ha ha
Unaleta hoja kwa watu wenye uelewa basing on hearsay??? Fanya utafiti ili ujue Mkono aliishije...
acheni hizo za kuanzisha mabaraza, litaundwa na litawanufaisha viongozi watakao chaguliwa tu, nadhani hapo tayari wapo ambao wameisha nusa ulaji kama likikubalika kuanzishwa, ndo hao wanao likomalia, sana sana litakuwa jukwaa jingine la malumbano ya kisiasa kama lile la Bavicha na masalia...
Hoja ya kuiba hela BOT akaenda kuishi uingereza hadi Nyerere alipoondoka madarakani ina mapungufu kadhaa
1. Uingereza siyo nchi ya mtu kwenda kirahisi rahisi
2. Maisha uingereza yako juu sana kuishi huko kwa kutegemea hela ulizo iba kwenu, kulipia bill ya nyumba, umeme, maji, gesi, simu...
Mkuu wewe unaishi nchi gani? hujasikia wakisema chadema hata ikisimamisha jiwe lazima lishinde? ha ha ha ha ha chezeya watu waloyachoka magamba weye!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.