Mkuu mimi siku ikifika nafuu nife kwa kupigwa bomu kuliko kufa masikini na wakati hela zangu zipo NSSF, Hawa jamaa ni matapeli, pesa tulizochangishana sisi na waajiri wetu wao wanataka kutupangia namna ya kutulipa!!!?? huu ni wizi mkubwa na utapeli ulio pitiliza, Nyie NSSF mtatoa au hamtoi...
Wadau poleni na kazi ya kukabiliana na hali zenu.
Kuna tetesi kwamba NSSF wamefanya kikao jana tarehe 11/09/2017 na wafanyakazi wa Bulyankhulu Gold mine ambao wapo kwenye list ya redundancy na kuwataarifu kuwa watachukua fao lao la kujitoa mara watakapofikisha umri wa miaka 55.
Yeyote ambae...
Wadau, kwa wale wanaotarajia kusafiri kuto Dar Kwenda Kahama kwa haraka huna haja tena ya kupanda mabasi, sasa Precision air inaanza route ya Dar - Kahama -Tabora -Dar. Ratiba ni Jumanne, Alhamis na Jumapili kuanzia kesho tarehe 5/09/2017
sio kila mtaa uliopewa jina la mtu ni lazima awe amefanya kitu cha ajabu..mitaa mingine hupewa jina la mtu kwa ajili ya heshima tuu.kwani manzese uwanja wa fisi haya nambie hao ''fisi'' wameufanyia nini huo uwanja mpaka wakapewa jina????? bogazzzzzzzzzz
Wakuu hali ya maisha imekua ngumu sana, serekale (ki magufulili voice) badala ya kutafuta muafaka wa upatianaji wa ajira, kutatua shida za maji, elimu duni nk. ndo kwanza imeendele na wimbo wa kutumbua majipu. kwa hali hii serekale ya viwanda tutaishia kwenye viwanda Hewa na elimu hewa, naona...
Elimu bure siku hizi mama, nakushauri umrudishe mtoto wko Kayumba Secondary school, kwakuwa alishapata mwanga kwenye hizo shule za hela atafanikiwa tu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.