habarini Tanesco, Mimi NI mkazi wa Tanesco mkoa wa ilala, Nyumba yangu iko ukonga, shida yangu kuu napenda kuuliza, nimepata tetesi kuwa wale tulikuwa na madeni na tukaingia katika mfumo wa malipo kwa njia ya LUKU mkoa wa ilala, tumefutiwa madeni je kuna ukweli wowote juu ya hili!? msaada...
Mshana jr siku hizi madaktari hawachoropoi tena! kazi hii inafanywa na kidonge cha misoprostol! kimoja mdada anaweka mdomo wa chini kama ugoro vile,kingine kwenye mlango wa uke! akienda chooni tu kwisha kazi! wamerahishiwa uuaji!
hakuna cha safari bamdogo wala bamkubwa hapa, ngumu ndo mwisho wa reli! nikitandika viroba vyangu 6 stimu tosha kabisa! sijui huko dar kama bado vinapatikana? kanda ya ziwa vipo kama njugu! ni mwendo wa kunyonya tu!
Bora hata wewe, mabachela nawashauri nenda bar angalia mrembo weka ndani!, kula mambo! mahari utalipa mdogo mdogo, bar kuna wanawake wazuri jamani, kama hujakaa nao sawa kuwahoji, aisee! niacheni tu na my malkia, maisha tu na kutengwa kunawasumbua!
Mme wako atakuwa ni mfuasi mwenzangu wa kwa nabii tito! yuko sawa! maandiko yanasema hivyo! kula housgel si dhambi! maana bwana wa majesh asema na zaaneni na mkaijaze dunia! asema bwana! yeremia 33;3
Hii nchi imejaa wapumbavu! yaani ununue saa mil.8 baada ya mwaka unapata bil 1.3! uliona dunia ya wapi biashara ya hivyo! aisee! utapeli kumbe ni kazi kama kazi zingine! tena inalipa kweli kweli,maana majinga kumbe yanaongezeka bado!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.