Katika kile kinachoweza kuonekana kwamba CCM imekosa dira, inatapatatapa na iko tayari kwa lolote kumnusuru mgombea wao anayepungua umaarufu kwa kasi. Kinana amewakilisha invoice kutoka wakala wa ndege za serikali kuthibitisha kwamba mama Salma Kikwete hatumii ndege hizo kwa gharama za serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.