Nipo Newala Mjini wiki ya pili sasa hali ya umeme ni mbaya kupita kiasi.
Tangu nimefika na sasa shida imezidi wiki iliyopita umeme ulikua unawaka kati ya masaa 4-6 kwa siku.
Wiki hii Jumatatu umeme uliwaka masaa 6 kwa siku, Jumanne masaa 3 kwa siku, Jumatano umeme uliwaka chini ya saa 1 kwa...
Serikali yetu ya Tanzania haitilii maanani ushirikiano kati yetu na Msumbiji kiulinzi na hata kibiashara nchi inahitaji viongozi wenye mitazamo mipana ili kuimarisha usalama wa nchi na hata maendeleo ya nchi tunahitaji ushirikiano thabiti na huku tukiweka malengo ya muda mfupi na mrefu na...
Usianzishe mada kama unategemea mawazo yako na mitazamo yako inafanana na wengine, kinachofanya wengine waonekane bora na wengine waonekane dhaifu ni utofauti wa mitazamo, ndugu yangu inabidi uendelee kujifunza kwa wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.