Wewe ndiye unayeruhusu au kuto kuruhusu furaha katika maisha yako...ni perspective tu unafocus wapi...kwenye mikwaruzo jenga tabia ya kuzungumza na muhusika...
Kwanza weka mambo haya akilini kwako na kumbuka kila mara unapotaka kufanya mabadiliko
1. Any change to behavior should be incremental. Hakikisha unajua unabadilisha nini, kwa muda gani, unaaniza wapi na target yako ni nini. Kisha fanya hayo mabadiliko kwa kujiongezea targets only after...
Tatizo hakuna elimu ya utumiaji barabara kwa wananchi not to mention questionable drivers katika umiliki wao wa leseni na uzingatiaji wa sheria za barabarani. This is a deep rooted problem wala sishangai.
Nani kakwambia Mungu hajamfanya binadamu kumjua japo si lazima kumuelewa? Binadamu mpaka leo hajui siku yake ya kufa hata kusababisha kuweza kuizuia. Binadamu mpaka leo anafanya utafiti ili awe na evidence ya kupinga, kujenga au kukosoa theories zilizopo kuhusu creation yet Mungu kakujuza kama...
Kwenye windows phone apps za MS office zipo fresh. Mtu unaweza kuedit/kusoma MS documents kirahisi.
Ila ina limited apps ukicompare na android na updates za most apps zinakuja late sana ukicompare na za android
Napenda sana nyimbo za Ben pol na anajitahidi....ila inabidi aongeze kiwango kwenye video zake coz haziwezi kucompete kwenye internatiola market! He should invest more
Tusingekua na mkombozi. Na kama binadamu wasiokamilika (sinful) tusingeweza kuwa right na Mungu. Mungu is without sin and he can't abide where there is sin. All in all, God had/has predestined all including our lives.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.