sajenti we ndo mwezango umesema kweli, sijuwi huwa tunaona aibu au ndo tabia zetu kutesana kwani mtu anashindiwa nini kusema mi nawee basi. ata kama unahisi utamumiza mwenzio lakani utamsaidia sana ukimwambia ukweli ata kama ukweli unauma lakini ndo imeshakuwa yanini kumzingua zingua
mbona unatutisha tumfate nani ? halafu maradhi ya kisukari si yanasababishwa na sukari ya artificial si natural mi sijuwi lakini hebu nifahamishe kwa hisani yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.