zitoke wapi kaka! HAKUNA ASASI ZA HAKI ZA BINADAMU HUKU! NImezunguka wilaya mzima...
CCM wametawala miaka ming kwa kuwafumba macho wananchi. Hali ya umaskni inatsha, hakuna maji safi, hakna shule za kutosha,etc
samahan wana JF mimi sio mwanasheria na hata mwanasiasa....
(nikikosea nikosoeni nitafurahi, nina diploma ya ualimu na digrii ya uhsibu na fedha)
Kuna majimbo kadhaa ambapo hadi leo hakuna muelekeo wa kisiasa baada ya NEC kuchakachua kura wazwaz wakapewa CCM!
HADI LEO hali ni mbaya kwani...
Jamaa ni mkali.. Eeehhh!!!
Mr. President..., Tanzania! Ha ha ha
Nitafurah sana miaka michache akiingia BUNGENI.....
SPATI PICHA, MC ROMA anatoa hoja, MJOMBA anachangia na PROFSA JAY anapga makofi 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.