Sure. Nilimfundisha hapo Kinondoni. Ila alikuwa anaitwa Chande Maharage. Kumbukumbu yangu kumhusu ni kwamba alikuwa mwanafunzi mzuri mwenye kupenda kujua/kuelewa. Yani kitu asipokielewa atakusumbua mpaka kieleweke. Pia alikuwa msafi na mtanashati sana
BIFORWARD NIMESHAWATUMIA NI WAZURI HAWANA USWAHILI/ GARI KUCHELEWA HUTOKANA NA TIMING YA WEWE UNAPOAGIZA NA MELI INAPOONDOKA KULE. UCHAKAVU WA GARI NI CHOISE YAKO MWENYEWE. VINGINEVYO JARIBU SBT
Huyu ni katika viongozi wachache waadilifu katika nchi hii. We missed him as president some time back. Mizengwe ilikuwa mingi. Ooo hajaishi tz, oo mara haijui nchi maana muda wote yuko marekani. Ilimradi kila mtu alikuwa na la kwake. Nikajiuliza, wazungu na waarabu walipotoka watokako...
Yule mama yetu ni MAMA wa ukweli! Alitulea kama watoto wake wa kuwazaa. Alikuwa na uchungu na sisi kwa namna ya tofauti. Alijaribu kila lililowezekana kuondoa tofauti za backgrounds za wanafunzi (ukizingatia kipindi cha MWALIMU wanafunzi walikuwa wanaletwa toka kila pembe ya nchi with different...
Yule mama yetu ni MAMA wa ukweli! Alitulea kama watoto wake wa kuwazaa. Alikuwa na uchungu na sisi kwa namna ya tofauti. Alijaribu kila lililowezekana kuondoa tofauti za backgrounds za wanafunzi (ukizingatia kipindi cha MWALIMU wanafunzi walikuwa wanaletwa toka kila pembe ya nchi with different...
Angalieni nyie polisi. Mliokabidhiwa kulinda usalama wa raia na mali zao. Badala yake mmekuwa ndo tishio la usalama wao na mali zao. Mnadhani mungu hawaoni? Mmemuua mwangosi akiwa mikononi mwenu hana silaha. Ni uonevu mkubwa hata kichaa aneona na kuikemea hiyo, sembuse mungu? Huyo ndiye mungu na...
Kilimo cha uyoga ni taaluma ya microbiology au to be more specific, mycology. Ukikutana na wachakachuaji watakufrustrate utalia. Kwa habari za uhakika kuhusu taaluma au kilimo hiki unabidi upate mafunzo na taarifa sahihi toka kwa wataalamu. Wasiliana na namba zifuatazo kwa taarifa sahihi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.