Ndugu wana JF naleta kwenu hapa jamvini kero yangu kubwa nlonayo pengine naweza kupata mawazo ya kunifariji kidogo. Ndugu zangu Mbunge wangu simwoni jimboni wala bungeni simsikii kabisa sasa sijui imekula kwe2 au ni vipi, Mbunge huyo sie mwingine bali ni Mh. Dr. Cyril Chami jamani duuuuuuuuuh!!!!!
Ndugu wadau wa Jamii Forum najaribu kujiuliza na kufikiri mara 2 mbili lakini sipati jibu! Hivi hawa jamaa wa CUF wamo kwenye ulingo kweli au hawajielewi baada kufunga ndoa ya mkeka kule Zenji Bar?? Naomba kuwasilisha.
Ndugu wana J-Forum napenda kuleta jamvini suala moja ambalo linanikera sana. Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu habari za kituo cha TV ya Taifa TBC imekuwa ikitoa habari kwa kupendelea chama cha mapinduzi kwa kurusha ktk taarifa za habari chaguzi zake mbalimbaali ndani ya chama sehemu mbalimbali...
kwa heshima na taadhima naomba nitoe ujumbe wangu kwa uongozi wa cdm mimi kama mwana m4c ambae nilizindua m4c pale naura springs hotel. Ktk mkoa mzima wa klm m4c bado haijafika kabisa hivyo basi naomba kutoa wito kwa cdm kuangalia upya ratiba ya m4c hasahasa moshi vijiji kwa kwa mh. Cyril chami...
Ndugu wadau katika kile kinachodaiwa kuwa ni mbinu chafu za nyinyiemu za kuzima moto mkali wa cdm usiozimika hivyo kutwa uwanja uliokuwa ukitumiwa na cdm kwa ajili ya mikusanyiko kwa wamachinga. Hata hivyo tunaishukuru cdm maana wao ndio chachu iliyosababisha wamachinga kupata eneo la biashara...
Wandugu suala la kuoa sio mchezo maana hii ni practical experience naitoa , kuna watu sasa hivi hawapokei simu zangu kisa mchango wa harusi jamani mhm. Nishaurini jamani
AFRICAN UNION
UNION AFRICAINE
UNIÃO AFRICANA
AFRICAN COURT ON HUMAN AND PEOPLES RIGHTS
COUR AFRICAINE DES DROITS DE LHOMME ET DES PEUPLES
P.O Box 6274 Arusha, Tanzania, Tel: +255 27 2050111; Fax: +255 27 2050112
The curriculum vitae must be presented in the following prescribed format...
Wadau napenda kuwaletea humu jamvini vitu muhimu vya kuzingatia kwenye CV wakati wa kuomba kazi sehemu mbalimbali. i.e.
JOB APPLICATION FORMAT
------------------------------------------------------------------------------------------------------------
POST:
1. PERSONAL DATA
Name
Contact...
Wana JF mpaka sasa sijui ni kwanini nimeachwa katika uteuzi wa wakuu wa wilaya walioteuliwa hivi karibuni SIFA ZOTE NNAZO!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.