Jambo la kwanza ulipaswa kuipoteza simu yako,uisime na kuifungia ofisini. Ili kama ungekuta kimenuka useme ulidondosha simu na umerudi kufuatilia kama umeidondosha maeneo ya nyumbani.
Hand writing itawaumbua kweupe.
Ni mara chache wanafanana mpaka hand writing.
Kama karatasi zao za mitihani bado zipo watapokonywa degree zao peupe. Ikiwa karatasi zile za mitihani zimeshateketezwa watapona.
Wakuu habari za muda, nipo jijini Dar Es Salaam, niliweka mada kuhusu mbao nilizoezekea kubunguliwa.
Nimepata michango miongoni mwa wadau akaniambia kupaka oil chafu. Je ninaweza kupata wapi kiasi cha kutosha kwa ajili ya shughuli hiyo?.
Habari wakuu,
Tafadhali naomba mwenyevkujua dawa ya kupaka mbao nilizopaulia zisibunguliwe anitajie nikanunue. Naona mbao zilizopaulia zimeanza kuliwa.
Asanteni sana
Wakuu habari za kutwa,
Samahani naomba mwenye uelewa anisaidie.Kati ya vingunguti,Pugu na Madizini wapi ninaweza kunununua mbuzi (1) tu kwa bei nafuu zaidi?
Na kwa sasa bei ya mbuzi ni wastani wa shilingi ngapi?
Asanteni.
Habari wanabodi.
Najua JF ni msitu mkubwa, ninaomba mwenye kujua hawa watu mahali walipo aninuze.
Nina shida nao kwelikweli. Pamoja na mambo mengine wana/ walikuwa wana jihusisha na mambo ya miamala. Walikuwa mawakala wakuu wa Halotel pengine na mitandao mingine.
Tafadhali mwenye kufahamu...
Wewe ndo umekurupuka kujibu. Hoja ya mtoa mada ni kwamba kwakuwa uraia uliotolewa husitolewe na rais wa Jamuhuri?. Rais wa Zanzibar anawezaje kutoa uraia wa Jamuhuri?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.