nashukuru sana kaka, kupitia uzi wa broh, nimepata kujifunza vingi kutoka kwako, namna alivyoeleza broh, ndivyo na mimi ninavyoteseka hata nikiwa kwenye halaiki ya watu, nikipatwa na usingiz kidogo inakuwa shida lakin pia kuamka na uchovu.
samahani wakuu kuna kada mbalimbali zimetangazwa na SADC kupitia utumishi, naomba kufahamu, application letter unaandika address kuelekea kwa anunani gani.
Nashukuru.
naungaa na wewe mkuu, sisi hatuna exposure...
ndio maana hata mavyuoni wadhiri wakipewa teuzi au nafasi za utendaji serikalin wanapagawa hata taaluma zao wanaweka pembeni.
Prof Kabudi, ashawahi kusema nakushukuru JPm kwa kunitoa jalalani....coz he was lack exposure
Kwa wakazi wa Bukoba, fika maeneo ya Buyekera, ulizia Casablanka......kuna dogo anapika kitimoto mpka nataman kumuiba nimpeleke dar au dom
Sent using Jamii Forums mobile app
Big point, na viongoz wa CCM lazima wajue kuwa, hali nzur ya ki diplomasia imepambaniwa, na tukiiharibu itatuchukua miaka mingi sana kuirejesha...
Sent using Jamii Forums mobile app
yaan bro, hatuna tofaut, hii mambo inanitesa sana, alafu ndio ivo nishafikia umri wa kuwa na familia...
yaan nawatesa sana dada wa watu ase...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.