Lengo kuu ni chama siyo familia.Chama kwanza.isiwe kama ya familia ya kikwete na CCM.Baba mwenyekiti,mama mjumbe kamati kuu,mtoto mjumbe kamati kuu,shangazi,mjomba na mke mdogo.
Watanzania wa leo wamebadilika.siyo wa miaka ile.siyo wale wa kudanganywa kwa pipi tena.mwisho wa mafisadi umekaribia sana.Change is inevitable.WATU WAMECHOSHWA NA MANENO MATUPU
Kwanini huyo mmasai asipumzike akala alivyovipata kwa wizi???/
Wamasai fanyeni kama wahaya walivyomwondoa mwizi karamagi kwenye system.
Na Kikwete kumrudisha Lowassa itakuwa ni aibu kwa taifa letu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.