Habari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo...
Habari wakuu, leo kwenye pita pita zangu mtandaoni; nimeona kwamba Tanzania ipo miongoni mwa nchi chache Afrika ambazo Amazon inaweza kutuma (ship) mizigo. Hivyo, nilitaka kudadisi kama kuna yeyote, husasan aliyepo kwenye eneo lenye mtaa wenye posti kodi (jina la mtaa na namba ya nyumba), ambaye...
Habari wakuu, ninahitaji direction kidogo kwa Dar es salaam; ni wapi naweza pata huduma ya kuaminika (fundi) ya kufungua router tajwa kutoka kampuni ya Tigo, ili niweze kuitumia na line nyingine.
Hii ni kutokana na Tigo kubadilisha vifurushi vyao vya Home Internet nilivyozoea, na kuweka...
Habari za asubuhi wakuu! Kwenye pita pita zangu kwenye menu ya tigo *147*00# nimekutana na hichi kifurushi cha Home Internet, na kwa bei hii nimeona kama kizuri kwa GB wanazotoa kwa mwezi especially hapo kwenye GB 100. Ningependa kujua kwa waliokitumia, experience yenu ilikuwaje kabla sijapoteza...
Habarini wanajukwaa! Kuna kitu nilipenda kufahamu kwa wanaojua. Hivi ukinunua bidhaa kutoka Kikuu na Jumia nimeona wana kitu kinaitwa door-to-door delievery-- wanakuletea hadi mlangoni, swali langu ni kuwa... hizi kampuni zinafanya hichi kitu wenyewe au kuna kampuni (courier) wanaowapa bidhaa...
Habarini wanajukwaa.. kwenye pita pita zangu mtandaoni nimekutana na tangazo hili katika Page ya Facebook ya Tigo (Kama inavyoonekana kwenye Picha). Tigo inadai kuwa mtandao wa pili (Ingawa mpaka leo TTCL sijawahi ona ikifikia spidi za LTE-A) kuwa na 4G+ hapa TZ yenye theoretical speeds za hadi...
Kusema ukweli, kwenye haya maswala ya intaneti— naweza kuwa kati ya wahenga nchini hapa; maana nakumbuka matumizi yangu yalianza mwanzo wa mwaka 2000, nikiwa bado mdogo sana. Enzi hizo nakumbuka tulikuwa tunapata intaneti nyumbani kutoka kwenye simu ya mezani ya TTCL: inayojulikana kama Dial-up...
Kwa Majibu wa account yao ya instagram leo, kampuni ya simu ya Ttcl imekuwa kati ya makampuni machache Africa kuzindua hii 4.5G au LTE-Advanced Pro, Mlimani City leo. Yenye theoretical 1Gbps speeds sawa na speeds za Broadband/Adsl (Internet za waya)
Mfano wa demonstration ya speeds ya 4.5g...
Salam wakuu, mimi kwa miaka mingi Nimekuwa mzee wakuchepuka leo tigo, kesho voda, jioni halotel, kesho yake Ttcl lakini kwa niliyoyaona leo mimi na hii kampuni itwayo Tigo (line ninayo mwaka wa 10 sasa) ndio basi tena sirudi na kamwe siweki vocha hadi wabadilike.
Habari za siku wakuu, leo hii nilikuwa katika pita pita zangu kwenye mtandao nikakutana na hii
Sasa watumiaji wa huu mtandao naomba maelezo kidogo.
Je;
Kweli ni unlimited au ni unlimited zetu za kibongo zile za ukifika *GB flani unapunguziwa speed?
S3 mini, inauzwa kwa 100,000 FIXED. inatatizo na system ya charging na mic,Inakuja na kila kitu kasoro earphones. NI PM kama hupo interested tufanye biashara
Inauzwa kwa bei ya 380,000(negotiable kidogo)
4.0 inch superamoled screen
1gb ram
8gb internal memory
with SD card support
Android 4.1.2 (custom rom ya Dmod v6 with some S4 features)
5mpx camera,720p video recording
Dual core novathor processor
Slim and light
no scratches or cracks...
Simu imetumika 1 week tu. Bei ni 420,000/= Tshs
Inakuja na screen protector,Charger,Earphone na Box
Flip Cover ntakuuzia kwa 15,000
Kwanini nauza:
Simu ina chukua 2 hrs and 45mins kucharge na Samsung Charger
au sometimes 3 hours ivi kucharge na Usb charger. Sijazoea simu inayocharge muda...
Pata simu mbili Samsung Chat e222 na Huawei y200 zote kwa 160,000 (inapungua hadi 155,000)zote zipo kwenye hali nzuri.
Ni Pm ukiwa interested..Hii ni kwa wakazi wa Dar pekee.
Used Samsung chat, double line, bado mpya mpya,kila kitu kinafanya kazi,full qwerty keyboard,facebook,twitter and great for music going for 75,000(Tunaongea bei yenye faida kwa wote)
Huawei Y200 na Samsung Chat zinauzwa kwa bei ya 189,000/= Tsh. Utapata simu mbili na charger na kwa Huawei y200 utapata receipt yake for warranty valid for 5 months (Kama kukitokea tatizo lolote unauweza kuwapelekea tigo kwa matengenezo au simu mpya bure).
HUAWEI Y200
Huawei -IPS screen(nzuri...
Habarini za mchana/asubuhi/usiku wakuu. Nilikuwa naomba kwa anayejua bei kamili ya hizi simu dukani au kashaziona kwenye pita pita zake hapa na pale, Angeni saidia kunitajia na pia hata duka alipoziona (especially kwa ya kwanza) maana nimezipenda mno alafu nimechoka simu yangu kwa sababu ya...
Imagine going to the Android store, iTunes store, eBay and purchasing what your heart desires and making payments with M-pesa, Tigo Pesa,Airtel money.
can this wish of mine become a reality some day?
Au Is there a law restricting them from participating in international transactions.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.