Mkuu mimi ninaona njia uliyotumia haikua sahihi sana hasa ulimwengu wa sasa ambao uaminifu umekua jambo gumu kidogo
Ungetafuta uongozi wa chuo mfano dean of students au serikali ya wanafunzi wao wanawafahamu baadhi ya wanafunzi wenye uhitaji mkubwa wa fedha na hizo laptop labda hawana mikopo...
Ni chuo kizuri kitaaluma, kiko kati kati ya manispaa ya Iringa yani kiko mjini kabisa, Mazingira mazuri, ni moja ya vyuo vikuu vitatu vinavyo patikana manispaa ya iringa (Chuo kikuu cha Iringa zamani kiliitwa Tumaini University, na Chuo kikuu cha Mkwawa)
Naongezea hapa, akisoma HGL advance maana yake chuo kikuu atasoma course zote za social sciences (sayansi ya jamii) pia anaweza kusoma baadhi ya course za biashara ENDAPO alipata pass ya hesabu kwenye matokeo yake ya kidato cha nne;
Ikumbukwe kuwa; mwanafunzi anapo omba baadhi ya course chuo...
Utumishi Wanapotoa pdf ya kuita afisa maendeleo II kwenye written interview basi wakumbuke pia kutoa majina ya afisa maendeleo II walioingia kwenye kazi data interview ya mwaka jana wasijisahau kabisa.
Mbona halmashauri zina ajiri watendaji, madereva n.k hata kama wako under supervision ya utumishi through kutuma afisa mmoja kama ni mianya ya corruption na nepotism ipo haiwezi kuzibwa.
Pia tamisemi wana ajiri watumishi wa afya, walimu, ma afisa ustawi, wizara ya afya ina ajiri watumishi...
Umuhimu wa Cheti cha JKT ni pale utakapotaka kuomba kazi zinazohusu maswala ya ulinzi maana utatakiwa kuambatabisha cheti cha kuhitimu mafunzo ya jkt, mfano wa kazi nikama ifuatavyo;-
Polisi
Jwtz
Uhamiaji
Magereza
Takukuru (hawa huwa hawasemi ila wanazingatia pia) na;
Vyombo vingine vya...
Unachokiongea ni sahihi labda kwa vijana wanaotumikia JKT mkataba wa miaka 2+, ila sio kwa hawa vijana wanaokwenda miezi mitatu (mujibu wa sheria).
Mwisho wa siku uvumilivu, ujasiri, kujisimamia na uthubutu kama ulivyotaja ni mambo yanayojengwa kwa muda mrefu sana na kwa hatua mbali mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.