Mchezo unajulikana kama Boxing. Kwa jina jingine huitwa "The Sweet Science". Naam! Ni masumbwi. Ndondi. Vitasa!
Ni mchezo wa hatari, mchezo ambao unamuonyesha Homo Sapiens kuwa ni kiumbe wa aina gani. Unakuwa peke yako ulingoni na mpinzani wako. Huna mtu mwingine wa kumlaumu. Na ukizubaa...
Wakuu.
Kama sikosei juzi kuna mtu aliweka hapa tangazo la nyumba ya biashara iliyokuwa inauzwa kule Kigamboni. Vilikuwa ni vijumba kama vinne hivi vinavyojitegemea ndani ya compound moja; na akasema kila kimoja kinajitegemea Luku, maji n.k.
Cha ajabu tangazo hilo nimelitafuta sijaliona. Sijui...
Kitabu hiki ni kizuri. Mimi binafsi kilinisaidia katika interview yangu ya tatu baada ya kuwa nimeboronga katika interview zangu mbili za kwanza. Ndiyo nilikuwa nimemaliza chuo na kazi ya kwanza ndiyo hasa niliitaka lakini nilikutana na vijana wenzangu kutoka Kenya na Nigeria nikajua tu waziwazi...
Nitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni kutoka mahali po pote duniani
Naanza na kitabu hiki chenye fomyula muhimu 1,300 za somo la Hisabati...
Ni enzi za Korona. Binafsi nimekaa kwenye lockdown kwa zaidi ya mwezi mzima. Hata sasa natoka tu pale inapobidi. Muda huu wa lockdown umekuwa wakati mzuri sana wa kuweza kutafakari mambo mengi na kujisomea. Maisha ni nini hasa? Tupo hapa duniani kwa kusudi gani?
Bila purukushani na vurugu za...
Pengine hii ingefaa iwekwe kwenye jukwaa la JF Doctor lakini naamini hapa MMU ndiyo nitapata jibu la moja moja kwa sababu memba wengi wa kile chama mashuhuri cha CHAWAPUTA wapo hapa. Kwa hiyo mods naomba please msiuhamishe uzi huu kwenda JF Doctor.
Ishu iko hivi: First born (mvulana) wa kakangu...
Wacheza soka wa kike (timu ya taifa) wamechoka kubaguliwa kwa kulipwa pesa kiduchu japo wao ndiyo wanaingiza pesa zaidi kuliko wenzao wa kiume. Mpaka leo wanawake Marekani huwa wanalipwa mishahara pungufu (vs men) hata kama wanafanya kazi ile ile moja.
Imagine nchi nyingine wangekuwa wanafanya...
Wadau hii ni coincidence tu au kuna cause and effect? Vipi kuhusu dada zetu wanaoendekeza tabia hii? Nao wanaweza kupatwa na masaibu kama haya? Mungu na Atusaidie!
Popular gay musician dies of anal cancer ▷ Yen.com.gh
Nina mgonjwa na tumepewa referral kwenda Bugando. Ni wazi tutalazwa huko. Gharama za kulazwa kwa siku ni kiasi gani? Vipi vipimo kama x-ray na vinginevyo? Kumwona daktari bingwa je? Huduma zao zikoje au na penyewe ni mpaka umjue mtu?
Natanguliza shukrani zangu za dhati wapendwa.
Ushabiki wa siasa pembeni lakini huyu mama ana mvuto sana na tayari anaonekana kama first lady tayari. Hii ni leo akiwa Kahama na mumewe. Mimi ni Msukuma na nayajua madhila ya vikongwe hawa anaoongea nao.
Wengi wanahisi kuwa jamii imewatenga na wanaishi kwa hofu ya kuuawa kwa tuhuma za uchawi...
Kati ya mawaziri mizigo waliowahi kutokea katika nchi hii ni huyu jamaa wa "Tanzania is a union of Tanganyika and Zimbabwe". Mpaka leo huwa najiuliza alipita pitaje mpaka akaukwaa unaibu waziri wa wizara nyeti kama elimu? Binafsi huwa sina tabia ya kuombea mabaya binadamu wenzangu lakini kwa...
Hii dhana ya ukanda naona inaendelea kupaliliwa, Sijui matokeo yake yatakuwaje.
Huyu ni mshindi wa mashindano ya TMT kwa mwaka huu na alipokelewa kwao (kanda ya Kaskazini) kama shujaa. Kama unavyoona katika picha, mabango haya yanarejelea dhana ya ukanda wake.
Ni lini Watanzania tumeanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.