Ni nani aliyehukumiwa na kufungwa katika hiyo kesi??
Ni lini Mbowe alishitakiwa kwenye hiyo kesi unayosema?
Ni lini Mbowe alikimbia nchi wakati alikuwepo na alishiriki uchaguzi kule Hai.
Acheni uzuzu.
Huu ni uongo.
Baada ya kuapishwa, Rais anatakiwa kushirikiana na chama chake kupendekeza jina la mtu atakayekuwa Makamo wa Rais. Baada ya hapo jina hilo litapelekwa Bungeni kuthibitishwa na Wabunge angalau kwa asilimia 51 (majority).
Ndani ya siku 14, Rais mpya anatakiwa kumteuwa Waziri Mkuu na...
Hili apedomia linazeeka vibaya sana na kujikomba kulikopitiliza! Maandishi mengi halafu hayana substance yeyote.
Unatumia vifungu gani vya Katiba na Sheria kusema hayo uliyoandika?!
The law must be followed as it is. Hatufuati maoni ya kipoyoyo yasiyo na msingi wa Kisheria.
Vyama ni mali ya...
Wewe ni mweupe sana kichwani. Apedomia inakusumbua sana! Kuna Sheria gani na Katiba ipi zinasema Mwinyi, Magu na NEC wana mamlaka ya eti kuona huruma!?!
Huu ni unyani uliopitiliza ulionao.
Mbona hakuongeza Mei mosi!!?
Huo ni utopolo, miaka mitano akiwa Rais hajaongeza! Hakujua kuwa Urais ni miaka mitano!?
Kwani kamaliza kujenga mastiglers yake?!
Huyu ndiye Shehe pekee aliyebaki hapa Tanzania. Ponda ni kiongozi, Ponda ni mtu, Ponda ni mtu jasiri na hana unafiki kama wale walamba viatu vya binadamu.
Acha kuonyesha upopoma wako humu JF, umejifunua ulivyo huna shule kichwani!
Kiingereza cha wapi umeandika hiki wewe ccm? Halafu unatarajia umpende mtu msomi kama Lissu!? Aibu kuu!
Hivi wewe mchumia tumbo ulienda kumalizia Diploma yako kule Udom?
Mbowe huyohuyo ndiye alikunyima wewe nafasi ya kugombea Ubunge kupitia CDM, akapewa mtu aliyetoka ccm kwakuwa alikuwa bora kuliko wewe.
Mbowe huyohuyo ndiye kampa Lissu nafasi ya kugombea Urais.
Ona unavyopata tabu hata ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.