Search results

  1. D

    Nahitaji Ofisi ya kukodi kwa wiki moja Dar

    Nenda pale Seedspace wapo Victoria unaweza kupata ofisi kadri ya mahitaji yako
  2. D

    Naomba kukopeshwa Milioni 5 dhamana hati ya nyumba

    Nyumba iko wap?, thamani yake?
  3. D

    Nyuma ya Pazia; TFF -AZAM TV Haki ya Matangazo

    Usiwe kigeugeu katika matamshi yako, ulisema unataka kuona tangazo, limewekwa, saizi umebadili kauli. Fanya tafiti yako ya kutosha kabla ya kuandika hapa
  4. D

    Pongezi kwa DPP Mpya. Kama itampendeza, aanze kwa kutumia Nolle, kusafisha Uchafu wote wa mtangulizi wake...

    Kama mwandishi wa habari na nguli katika tasnia hii, ningekupongeza sana kwa makala kama ungeandika kipindi uchafu unatokea na si kupongeza sasa wakati mamia na maelfu ya watu wameumia
  5. D

    Nyuma ya Pazia; TFF -AZAM TV Haki ya Matangazo

    Tangazo la tenda
  6. D

    Natafuta mzalishaji na msambazaji wa sabuni za magadi (mawingu) kutoka Kigoma

    Kuna vijana wapo chuo cha Sukari Kidatu wanazalisha sabuni kwa mahitaji yako wanaweza kukusort, cheki na mwalimu wao 0717 535 062
  7. D

    Plot4Sale Tunauza Viwanja Sehemu mbalimbali Tanzania

    Mkuu weka contact zako
  8. D

    Nilikuwa mmoja wa wale watoto machokoraa Mwanza mwaka 2010/2011

    Ni kumfanyia cross examination to find out the truth, just 50% sababu hii dunia ina mengi. Ila inaonesha ni kijana mzuri. I am also interested to support him. Nitaku PM mkuu
  9. D

    Nilikuwa mmoja wa wale watoto machokoraa Mwanza mwaka 2010/2011

    Story yako inafanana na ya Isaya. Naomba ukipata mda pitia mahojiano kati ya Isaya na Salama utajifunza kitu ina part 1 &2. Nimekuwekea part 1 hapa chini
  10. D

    Nilikuwa mmoja wa wale watoto machokoraa Mwanza mwaka 2010/2011

    I wish ningempata yule mtoto tena, nimetumia njia zote nimeshindwa, yule mtoto ananiumiza mpaka leo nahisi nina deni kubwa sana kwake. Ishallah, one day tutakuja onana.
  11. D

    Nilikuwa mmoja wa wale watoto machokoraa Mwanza mwaka 2010/2011

    Hichi kipande kimenikumbusha mbali sana, nikiwa nafanya kazi sehemu mwaka 2008 dada wa kazi katika hiyo nyumba alikuwa na maisha duni sana alikua na mtoto wa miaka 3, mtoto wake alikua very smart, kwa kipindi hicho mtoto alikua anajua kusoma na kuandika bahati mbaya uyo binti alitoroka...
  12. D

    TAKUKURU na CAG fuatilieni hili la Mkurugenzi wa UCC

    Nimecheka sana eti "ana domestic problem", ndio kitu gani iyo mkuu?
  13. D

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    Nasubiri sehem ya nne naona mda unazidi kwenda. Mkuu tunashukuru kwa kushare hii historia nzur sana
  14. D

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    Mkuu naomba unitag sehem ya tatu
  15. D

    Kiwanja kinauzwa Mbweni Mpiji

    Weka bei
  16. D

    Baada ya kumtoa usichana, binamu yangu anataka tuwe wapenzi lakini naogopa

    Kwa taarifa ulizozitoa kama shangazi/mjomba/ndugu yako wa karibu anasoma hapa kitakachofuata ni kufukuzwa hapo ulipo na kukutengwa na ndugu zako wote.
  17. D

    Wasifu(CV) wa Ndg. Hudson Kamoga

    Biography Hudson Stanley Kamoga is a TV Personality, motivational speaker, professional MC, events organiser and actor. He was born on 23th February, 1978 at Kilimatinde Hospital, Manyoni District, Singida. His family shifted to Tanga in 1981 following his father’s transfer to join Tanga...
Back
Top Bottom