Kama mwandishi wa habari na nguli katika tasnia hii, ningekupongeza sana kwa makala kama ungeandika kipindi uchafu unatokea na si kupongeza sasa wakati mamia na maelfu ya watu wameumia
Ni kumfanyia cross examination to find out the truth, just 50% sababu hii dunia ina mengi. Ila inaonesha ni kijana mzuri. I am also interested to support him. Nitaku PM mkuu
Story yako inafanana na ya Isaya. Naomba ukipata mda pitia mahojiano kati ya Isaya na Salama utajifunza kitu ina part 1 &2. Nimekuwekea part 1 hapa chini
I wish ningempata yule mtoto tena, nimetumia njia zote nimeshindwa, yule mtoto ananiumiza mpaka leo nahisi nina deni kubwa sana kwake. Ishallah, one day tutakuja onana.
Hichi kipande kimenikumbusha mbali sana, nikiwa nafanya kazi sehemu mwaka 2008 dada wa kazi katika hiyo nyumba alikuwa na maisha duni sana alikua na mtoto wa miaka 3, mtoto wake alikua very smart, kwa kipindi hicho mtoto alikua anajua kusoma na kuandika bahati mbaya uyo binti alitoroka...
Biography
Hudson Stanley Kamoga is a TV Personality, motivational speaker, professional MC, events organiser and actor. He was born on 23th February, 1978 at Kilimatinde Hospital, Manyoni District, Singida. His family shifted to Tanga in 1981 following his father’s transfer to join Tanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.