if you believe in reincarnation, huyu jamaa anaonekana alikuwa mtu hatari sana in his previous life ndo maana akazaliwa hivyo alivyo hivi sasa iliaweze kumrudia muumba wake na asamehewe madhambi yake, lakini ubaya wa bahati ile roho ya ukatili bado inanguvu ndani yake, katika next life atazaliwa...
Chadema ni chama bora sana cha siasa kuwahi kuwepo Tanzania, ni chama ambacho kimejengwa katika misingi imara na thabiti, miaka hii mitano ya uongozi wa awamu ya tano ya ccm uongozi ambao umekubuhu kwa kuvunja katiba ya nchi, kutawala kwa kuvunja sheria kanuni na taratibu imetuthibitishia hilo.
Aliposhindwa ubunge mwaka 1990 Jiwe alijiunga na vuguvugu la National Convention for Constitution Reform, Ben ndo alimrudisha chama tawala 1995. kwa maneno mengine mboga mboga inaongozwa na NCCR.
Hapo kwenye bold ndo lengo la Mtakatifu wenu tangu aingie Ikulu, amevunja katiba na sheria mbalimbali mara kibao kuzuia shughuli za siasa kwa wanasiasa wa upinzani hasa Chadema lengo ni huko "kuporomoka" kutimie.
Ukweli lazima usemwe ameshindwa kuiporomosha Chadema.
Ukweli lazima usemwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.