Mbona mnapenda kulaumu sana, umeambiwa mali ya mkandarasi kwa.ajili ya kujaribu miundo mbinu, wewe unatokwa povu. Mbona nyumbani kwako una tv ya kichogo sie tumekaa kimya hatukwambii.
Kwa hiyo wewe na akili yako kabla ya mtandao palikuwa hakuna uhuru wa uchaguzi, punguza kiwango cha ushamba ndg, uhuru wa uchaguzi na internet havihusiani.
Acha uongo umepanda daladala nyakato sokoni ukaja kirumba kisha ukafika mjini baadae kona ya bwiru jamaa uliyemtapeli anakwenda sengerema na gari inakwenda bwiru kumbuka umeshachanganya sana kwanza feri haziko bwiru. Wadanganye wasioijua mwanza au uwe unafanya utafiti kwanza.
Wewe ni tra mkuu, ila ndio nimeamini asiliamia ku wa wanaotumia mitandao tz ukiwwmo wewe, uwezo wenu wa kuchambua mambo ni mdogo sana wengi mnajua kutukana tu. Badilika kijana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.